International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Canada imetangaza kuwa inapanga kuitambua rasmi Palestina kama taifa katika mkutano wa Umoja wa Mataifa mwezi Septemba, alieleza Waziri Mkuu Mark Carney, hatua inayoongeza shinikizo kwa Israel...
1 Reactions
6 Replies
871 Views
Tangu wiki hii kuanza na Ufaransa kutoa tamko la kuja kuitambua Palestina mwezi Septemba imekuwa ni habari kubwa bila sababu. Mataifa mengine matatu ambayo ni UK na Canada nayo yametia nia hiyo...
2 Reactions
5 Replies
452 Views
Roketi ya kwanza kutengenezwa na kurushwa kutoka Australia kwa lengo la kufika obitini ilianguka sekunde 14 tu baada ya kurushwa leo, Julai 30, 2025. Roketi hiyo, Eris, iliyotengenezwa na kampuni...
5 Reactions
15 Replies
923 Views
Ni jambo lisilopingika kuwa Marekani ni taifa lililoendelea zaidi kiteknolojia, kisayansi, kiuchumi, na hata kijamii. Mataifa mengi yanaiangalia Marekani kama mfano wa mafanikio na ubunifu wa hali...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Mapema mwezi huu raisi Trump alimpa raisi Putin wa Urusi mwezi mmoja na ushei ili akubali suluhu na Ukraine vita vimalizike. Sasa Trump amesema amepunguza muda huo na kumtaka Putin asimamishe...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakuu. Tokea kurejea kwake madarakani, Rais Donald Trump amekuwa ni kiongozi wa mipasho na kupenda kuabudiwa na kila mtu huku akiamini kuwa yeye ndiye fundi mwenye sauti kuu kwenye kila idara...
2 Reactions
7 Replies
660 Views
Baada ya Israel kuishambulia Iran Kwa ndege, na kuteketeza vituo vya kurutubisha nuclear energy. Shambulio ambalo pia limeua makamanda 6 wa juu wa jeshi la Iran, akiwemo mkuu wa majeshi ya Iran...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Takribani watu 22 wamefariki dunia katika maandamano yenye vurugu nchini Angola kufuatia ongezeko kubwa la bei ya mafuta, mamlaka zilisema Jumatano. Idadi hii ni ongezeko kubwa ikilinganishwa na...
0 Reactions
4 Replies
688 Views
Utawala wa kidikteta wa Mynanmar umeptisha sheria kali kwa watakaopinga uchaguzi ww nchi hiyo mwishoni mwa mwaka huku ukiweka sheria mbalimbali za vifungo kuanzia miaka mitatu hadi kumi kwa makosa...
0 Reactions
1 Replies
217 Views
Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani kutoka chama cha Democratic, Kamala Harris, ametangaza kuwa hatagombea nafasi ya Ugavana wa California, akivunja uvumi uliokuwa ukienea kwamba huenda akawania...
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Gaza ambako kuna maafa makubwa ya kibinadmu yanaoendelea ni sawa na nusu ya Wilaya moja tu ya Tanzania. Gaza ina raia milioni 2, yakijitolea mataifa kumi ya Kiarabu kila moja kuchukua raia laki...
3 Reactions
15 Replies
575 Views
Ujumbe ndio huo safari hi Hezbullah ataishambulia Israel sio target za kijeshi tu, kaona Israel ime cross red line na serekali ya Lebanon haijibu mashambulizi ya Israel. Yule Puppet wao walio...
15 Reactions
34 Replies
2K Views
Siku ya Jumapili Wiza ya Afya ya Gaza inayoendeshwa na Hamas imesema imerekodi vifo 18 "kutokana na njaa" katika muda wa saa 24 zilizopita. Siku ya Jumamosi wizara hiyo ilionya kwamba njaa kali...
1 Reactions
26 Replies
808 Views
Watu wa enzi hizi tumekuwa tuko nyuma sana kuwaza kulinganisha na wale waliotutangulia kiasi kwamba tunashindwa kuona ukweli penye uongofu. Kama tutawaza vizuri basi ni wazi tutaona kuwa matumizi...
3 Reactions
23 Replies
643 Views
Katika kile kinachoonekana kama kubadikisha muelekeo wa mtizamo wake kuhusu vita vya uvamizi vya Urusi nchini Ukraine, inaelezwa Donald Trump ameanza kuipa msukumo Ukraine kushambulia popote ndani...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Chung Ju Yung: Mwanzilishi wa Hyundai na Mfano wa Mafanikio Je Chung Ju Yung (1915–2001) alikuwa mfanyabiashara wa Korea Kusini ambaye alibadilisha historia ya uchumi wa taifa hilo kupitia...
5 Reactions
36 Replies
1K Views
Baada ya taatifa ya taasisi ya haki za binadamu ya Amnesty ya miezi michache iliyopita, taasisi ya haki za binadamu ya nchini Israel ya B'Tselem nayo imetoa taarifa kuwa wamejiridhisha vya kutosha...
1 Reactions
3 Replies
303 Views
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Julian Brown aka Nature jab mzaliwa wa Atlanta adai kugundua mashine inayoweza kubadilisha taka za plastiki kuwa petroli na diesel safi hajaonekana...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Urusi inamiliki kombora ambalo haliwezi kutunguliwa na linaweza kufika pahala popote duniani, kwa mujibu wa Rais Vladimir Putin. Amesema kombora "halipai juu sana, ni vigumu sana kulitambua...
2 Reactions
6 Replies
968 Views
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kuwa ifikapo Septemba mwaka huu, Uingereza itaitambua rasmi Palestina kama taifa huru endapo Serikali ya Israel haitachukua hatua madhubuti...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom