International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Jeshi la Israel ilifanya Mashambulizi kwa kushusha Makombora Gaza baada ya kutangaza na kutoa onyo Septemba 9, 2025 kwa Wapalestina kuhama na kuondoka kwenye makazi kwani watafanya mashambulizi...
4 Reactions
10 Replies
555 Views
https://www.youtube.com/watch?v=j1UH7Yn6gSg Hii ni makala ya pili inozungumzia nchi ambazo zina wizara kamili inoshughulikia Usalama wa taifa. Wiki ilopita nilizungumzia umuhimu wa raisi ajae...
4 Reactions
17 Replies
940 Views
Poland wamedungua Drones za Urusi zilizoingia kwenye anga yake kimakosa. Hawa jamaa huu ujasiri wa kumvimbia Russia wanatoa wapi?
1 Reactions
41 Replies
2K Views
Haya ni mambo ambayo ukitetea inabidi uanze kuwa chonjo, mfano kwa siku ya leo ni Charlie Kirk kapigwa risasi, Trump alikoswa koswa. wanapoona hoja zako zina uzito na hawawezi kudebate option...
10 Reactions
86 Replies
3K Views
Hili taifa la Marekani ni kama sasa limechanganyikiwa na linaongozwa na wahuni tu. Huyu kijana anayeitwa Charlie Kirk nilikuwa namjua kwa muda mrefu kama podcaster, mfanya midahalo na...
7 Reactions
94 Replies
4K Views
Ebu tazama mwanasheria wa haki za binadamu katika kikao cha UN akiwakumbusha Pakistan na Qatar kuwa wao ndio sponsa wa ugaidi baada ya kuilaumu Israel
4 Reactions
11 Replies
718 Views
Kwa Wapenda Amani Duniani wakiwemo Vioongozi wa Nchi za Kiislam au zenye waislam wengi na wacheche waache uongo mara moja Dunia imechoka na uongo ambao unasababisha kutokuwepo na Amani... news za...
7 Reactions
125 Replies
4K Views
Waziri wa Ulinzi Israel Katz: "Gaza inaungua. IDF inapiga kwa mkono wa chuma kwenye miundombinu ya ugaidi, na askari wetu wanapigana kwa ujasiri ili kuweka mazingira ya kuachiliwa kwa mateka na...
1 Reactions
0 Replies
304 Views
IDF inafanya mashambulizi makubwa na makubwa zaidi huko Gaza kwa saa chache zilizopita. Vishindo vya makombola hayo yanasikika mpaka Israel kwa kweli Sasa hivi Gaza wanakipata kipondo cha kufa mtu
1 Reactions
10 Replies
565 Views
Zile tambo za kumaliza vita kwa siku moja atakapoingia Ikulu alizowahadaha nazo MAGA Wamarekani sasa ni kama zimefika ukingoni baada ya karibia mwaka ukienda kuisha bila dalili zozote za vita...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Huko Nigeria mpishi mmoja aitwaye Hilda ameweza kuwakusanya raia 20,000 Waafrika wenzake wa nchi hiyo wakati katika tukio lake la kupika wali wa jollof katika sufuria kubwa zaid lillovunja rekodi...
6 Reactions
61 Replies
2K Views
Ukiangalia Israel ni kama ilikuwa inatafuta sababu iwachape wabaya wake popote walipo. Maana imewachapia Iran, Yemen, Syria, Qatar na sehemu mbali mbali. Yaani ukiwaangalia Hamas na Hezbollah...
4 Reactions
21 Replies
920 Views
Wanaukumbi. Israel na Pakistan 🇵🇰 zilichuana vikali katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya Israel kuitaja Pakistan mara kwa mara kwa jina: Pakistan inaishutumu Israel, inasema ni...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
ATHARI ZA ANTIFA, INTIFADA, UTETEZI WA MASHOGA Wachunguzi na taarifa za familia zinaonyesha kuwa Tyler Robinson aligeukia maswala ya siasa miaka ya hivi karibuni, haswa baada ya shule ya...
3 Reactions
25 Replies
908 Views
Anachofanya Trump ni sahii kwa asilimia 100 tena ikiwezekana hata wale ambao wana-documents anatakiwa anawakimbize warudi wakajenge nchi zao sababu sisi waafrika tumeshindwa kuzipigania nchi zetu...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Tukiwaambiaga Wairan sio waarabu muwe mnaelewa!! Iran walimjibu Israel wenyewe bila back up yoyote Even Russia hakumsapoti Iran!! Iran walijibu vilivyo Eti waarab eti mpaka waungane ndo wamjibu...
10 Reactions
17 Replies
875 Views
Kuna kila dalili kuwa migawanyiko, undumila kiwili, unafiki, na woga wa waarabu utawatokea puani. Yenyewe yamekaa na kuangalia kana kwamba hayawahusu. Na waafrika tujuandae. Huu waweza kuwa...
1 Reactions
6 Replies
437 Views
Sababu za Maandamano Marufuku ya mitandao ya kijamii – Serikali ilizuia matumizi ya Facebook, Instagram, WhatsApp, YouTube n.k. kwa madai ya kiusalama. Vijana waliona hatua hiyo kama kukandamiza...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
Katika hali isiyotarajiwa baada ya Rais wao Trump, MAGA wakina Elon Musk na Conservatives wengi wa Marekani waropokaji kusambaza uzushi kwamba muuaji ni Democrat/leftist hatimaye aliyepatikana...
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Mahakama jijini Johannesburg imewahukumu raia saba wa China kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja kwa kosa la kusafirisha binadamu kutoka Malawi na kuwalazimisha kufanya kazi kiwandani nchini...
0 Reactions
1 Replies
282 Views
Back
Top Bottom