Kinachoendelea mashariki ya kati soon Marekani itatwaa nchi za kiarabu

Kinachoendelea mashariki ya kati soon Marekani itatwaa nchi za kiarabu

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
11,100
Reaction score
13,698
1757430666001.png


Kuna kila dalili kuwa migawanyiko, undumila kiwili, unafiki, na woga wa waarabu utawatokea puani. Yenyewe yamekaa na kuangalia kana kwamba hayawahusu.​

Na waafrika tujuandae. Huu waweza kuwa mchezomkubwa na mchafu kuliko unavyoonekana.​

Tuombe Mungu wachina waendelee kutofautiana na wazungu vinginevyo, tutajikuta tunatawaliwa tena tena vibaya sana hasa ikizingatiwa kuwa watakaotutawala ni wehu kama trump na netanyahu na magenge yao.​

 
Myahudi kachafukwa. Aliapa tarehe 7 10 23 kila gaidi wa Hamas atafikiwa popote pale hata ndani ya Kaaba. Kisasi cha mteule ni nouma.

Screenshot_2025-09-09-18-02-00-57_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
 
Wao wanapenda pesa na maisha ya kifahari, hawataweza kuachana marekani.
Ukombozi unahitaji uikane nafsi.
 
View attachment 3468301

Kuna kila dalili kuwa migawanyiko, undumila kiwili, unafiki, na woga wa waarabu utawatokea puani. Yenyewe yamekaa na kuangalia kana kwamba hayawahusu.​

Na waafrika tujuandae. Huu waweza kuwa mchezomkubwa na mchafu kuliko unavyoonekana.​

Tuombe Mungu wachina waendelee kutofautiana na wazungu vinginevyo, tutajikuta tunatawaliwa tena tena vibaya sana hasa ikizingatiwa kuwa watakaotutawala ni wehu kama trump na netanyahu na magenge yao.​

Kama madini , wanyama, mbao na ngozi wanajibebea tu sasa unaposema waje kuwatawala, waje kwa aina ipi ili uone wamekuja ?
 
Back
Top Bottom