Naam wakuu zile mbwembwe za Trump kujifanya na urafiki na Putin ilikuwa lengo lake kuu ni kuharibu uhusiano wa China na Russia.
Trump alitaka kuitumia Russia kitenge china na kuhamia usuhuba wake...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imewahukumu viongozi wawili wa kundi la waasi wa Kikristo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kwa makosa mbalimbali ya uhalifu wa kivita dhidi ya raia...
Tunafahamu ukweli kwamba kuna nchi barani Ulaya leo zenye idadi kubwa ya wahamiaji wa kiislamu Wakati mwingine, inaathiri sera za serikali zao kwa kuwakaribisha wahuni hao.
Lakini hii haiwezi na...
Hivi, Jafo anadhani watu kujizima data ba kutafuta maisha nchi za watu,wanakuwa wameacha mazuri kwao? Tanzania ni nchi kubwa,tajiri ukanda huu,na bado ina fursa kwa watu wengi.
Wasaka tonge...
Abbas Araqchi, akimjibu Donald Trump, alisema, "Ikiwa uchokozi huo utarudiwa, bila shaka tutajibu kwa uamuzi zaidi. Jibu ambalo halitawezekana tena kufichwa."
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran...
Utawala wa Wapalestina, mjini Ramallah, umesema kuwa wao ndio mamlaka halali ya utawala wa eneo lote la Wapalestina, na kwamba Kundi la kigaidi la Hamas, lisalimishe silaha zake kwa utawala...
Kampuni za kutengeneza magari za China zinajitahidi kadiri ziwezavyo kufungua uwezo wa nchi za Afrika, huku zikitilia maanani magari ya umeme na nishati mseto, wakati ambapo vikwazo vya kuuza...
Aiseee huu mtambo sio poa!! Dude linajulikana kama Khorramshahr-5 hili dude ni hatari lina mlipuko mkubwa kuliko hata yale madude ya Bunker buster ya US
Iran is preparing to test the heavy...
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa ya mwaka 2024 imeonyesha kuwa kiwango cha njaa duniani kimepungua kwa mwaka wa tatu mfululizo, hasa kutokana na upatikanaji bora wa chakula nchini India na katika...
manuwari ya marekani yafurumushwa kwenye bahari ya Oman.
-US destroyer "Fitzgerald'' ilijaribu kuingia kwenye eneo la maji linalolindwa na Iran.
kwenye video iliyoachiwa siku ya jana inaonyesha...
Trump's playing the ultimatum game with Russia: 50 days or 10…
He should remember 2 things:
1. Russia isn't Israel or even Iran.
2. Each new ultimatum is a threat and a step towards war. Not...
Niaje waungwana?
Wazungu baada ya kuona wamefanikiwa kutawala sehemu kubwa ya dunia haswa haswa katika bara zima la Afrika, wakaona kuwa hata uongo wao pia watakaoleta kwa watawaliwa utaweza...
Wakuu,
Mwanamuziki wa Marekani, Ciara, amekuwa mmoja wa watu wa kwanza maarufu kupata uraia wa Benin chini ya sheria mpya ya nchi hiyo ndogo ya Afrika Magharibi inayotoa uraia kwa watu wenye...
Rais wa Marekani Donald Trump ameamua kuiuzia Ukraine silaha za kukabiliana na makombora ya Urusi pamoja na kushambulia pia vikosi vya Urusi. Vifaa hivi vitalipiwa na nchi za Ulaya.
Haya ni...
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amemfungulia mashtaka mwandishi maarufu wa habari kutoka nchini Marekani Candace Owens kwa kutoa taarifa za kupotosha kuwa mke wa Rais Macron , Brigitte Macron ni...
Operation Dudula which is currently perceived as nationalistic movement against foreign nationals in South Africa is tarnishing the image of the country. Many People are now living in fear...
Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni...
Raisi Trump hapo juzi akiwa Scotland alimtaka mwenzake Netanyahu amalize kazi ya Gaza kwa kuwaangamiza Hamas.
Kwa maelezo yake aliyoyatoa hadharani alisema Hamas wamechagua kufa hivyo ni vyema...
Mvutano mkali ulitokea ndani ya Bunge la Mkoa wa Punjab, Pakistan, siku ya Jumatatu, baada ya mbunge wa chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI), Khalid Nisar Dogar, kumshambulia kimwili mbunge wa...
Siku hizi ukitaja jina la Allah sehemu yenye watu lazima ukimbiwe, aisei hizi nyakati ni mbovu sana na zilitabiriwa kwenye Biblia na tunazishudia, tutaishi kwa hofu sana.
Jamaa amesababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.