Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kokote duniani wanaharaki wamekuwa chanzo kutetea haki za watu na tuwape maua wanawatetea wanyonge lakini wakati mwingine imeleta madhara makubwa sana. Wanaharakati duniani wameleta mabadiriko...
0 Reactions
6 Replies
47 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania Plc, David Tarimo (katikati), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mkutano Mkuu wa 10 wa Mwaka wa Wanahisa wa Kampuni ya Vodacom, uliojadili na...
2 Reactions
5 Replies
50 Views
Wana silika za takafuri? Silika za utafiti? Silika za kushangaa?
8 Reactions
145 Replies
3K Views
Hivi ninyi Idara ya maji mkoa wa Mbeya mnashida gani? Haiwezekani tumelipia maji toka Jumatatu mpaka leo hii hamtaki kurejesha maji . Mnapigiwa simu mnaahidi kutuma mafundi lakini mafundi wenu...
0 Reactions
0 Replies
8 Views
Mnamo mwezi Aprili 2026 Umoja wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Korosho nchini (KCJE) na Bodi ya Korosho Tanzania walieleza kuwa wanatarajia kusambaza zaidi ya tani elfu 50 za Viuatilifu vya unga...
1 Reactions
8 Replies
169 Views
Habari ndugu zangu, katika pitapita zangu ndugu yenu leo nimekutana na jambo ambalo kibinadamu siyo la kawaida. Katika mtaa wa Chem Chem maeneo ya Uyole inapatikana familia ya Mzee SIMONI ROMANUS...
5 Reactions
43 Replies
836 Views
Nimepita kwenye majukwaa mbalimbali, nimekutana na comment mbalimbali za watu wakitukanana matusi makubwa makubwa kisa tu wametofautiana/ kupishana kauli kidogo tu, imenichekesha nakunifanya nalia...
120 Reactions
395 Replies
19K Views
Wilaya ya Kisarawe inaendelea kujijenga kuwa kitovu cha uzalishaji wa baruti na vilipuzi nchini, kufuatia kuanzishwa kwa viwanda viwili vinavyolenga kuongeza uzalishaji wa bidhaa hizo ndani ya...
0 Reactions
0 Replies
13 Views
Jaman sisi wa huku mikoani tembo imekua kero kubwa sana yaan kutwa nzima untembea na tembo hadi unaona kero,watu wanajiongeza wanalima bustani ili wajiajiri tembo wanakuja kula mazao yote na...
8 Reactions
92 Replies
725 Views
Ajira mpya katika kata ya Ualimu mwaka 2026 Mkoa wa Morogoro (Dc) hatujapewa pesa za kujikimu mpka sasa Na kila tukiuliza wanatupa majibu ya mkato Msaada katika tafadhari. Kwako Ofisi ya...
0 Reactions
2 Replies
32 Views
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Pius Lutumo akifafanua kuhutu tukio la Mwanafunzi wa Kidato cha Sita Shule ya Sekondari Makongoro kufariki Dunia muda...
0 Reactions
13 Replies
251 Views
Wakuu salamu, Leo naomba tujiambie ukweli mchungu ambao wengi watauchukia, lakini ndio ukweli halisi. Kama wewe ni mwanaume au mwanamke unayeendekeza uzinzi na ngono zembe, sahau kabisa habari ya...
26 Reactions
123 Replies
2K Views
Course gani ukisikia mtu anasomea , unajua huyo mtu anawaste time huko Cumpus ,,,,, I start Criminology 🥺🥺Yako ni ipi?
4 Reactions
10 Replies
229 Views
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetoa elimu ya umuhimu wa maji na utunzaji miundombinu ya maji kwa wanafunzi wa klabu ya mazingira shule ya sekondari Chalinze...
0 Reactions
0 Replies
13 Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maji inaendelea kutekeleza Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Kidunda mkoani Morogoro, mradi unaosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...
0 Reactions
0 Replies
15 Views
Tabia ya kila basi kupakia na kushusha abiria sehemu yoyote katika Jiji la Dar es Salam imekuwa kwa kasi ya ajabu. Hivi sasa Mabasi yamezagaa katika kila mtaa yanapakia na kushusha abiria waendao...
2 Reactions
74 Replies
6K Views
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la kuboresha usafi wa mazingira katika maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es Salaam, hususani eneo la Ilala na...
0 Reactions
0 Replies
12 Views
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekutana na wananchi wa Mtaa wa Tabata, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, na kutoa ufafanuzi kuhusu hatua zinazochukuliwa...
0 Reactions
1 Replies
14 Views
Je, wajua kuwa Capybara ndio mnyama rafiki kwa wanyama wengi ikiwemo crocodile (mamba), chui na simba?!.. Huyu ni rafiki mkubwa wa Anaconda na Nyegere. Pia soma... - Naomba mnieleweshe maana ya...
20 Reactions
266 Replies
134K Views
Baadhi ya wafanya biashara umeona huduma yake insta hajaweka namba kuwa clickable ili iende moja kwa moja whatsapp unacopy pembeni kisha unatuma sms hajibu chochote. unahamia whatsapp hajibu...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
Back
Top Bottom