Makonda popote ulipo yamulike haya; miundo mbinu inajengwa Kwa gharama kubwa lakini huharibiwa Kwa uzembe;
Ufugaji Wa mifugo mingi maeneo ya mjini hususani jijini dar es salaam huchangia Kwa kiasi kikubwa uharibifu Wa miundo mbinu hususani barabara.
Kwato za Ng'ombe huchimbua barabara na kupomoa kingo za mitaro, pamoja na hayo pia mifugo imekuwa chanzo cha kuvunja alama za barabarani kutokana na ng'ombe kuegemea/kujikuna kwenye Nguzo za alama barabarani.
Pamoja na kero Kwa watumiaji wengine Wa barabara mifugo huleta uchafuzi Wa mazingira Kwa maeneo ya mijini ikiwemo vumbi na vinyesi!
Ni wakati wako mkuu Wa mkoa piga marufuku ufugaji maeneo ya mijini!
Ufugaji Wa mifugo mingi maeneo ya mjini hususani jijini dar es salaam huchangia Kwa kiasi kikubwa uharibifu Wa miundo mbinu hususani barabara.
Kwato za Ng'ombe huchimbua barabara na kupomoa kingo za mitaro, pamoja na hayo pia mifugo imekuwa chanzo cha kuvunja alama za barabarani kutokana na ng'ombe kuegemea/kujikuna kwenye Nguzo za alama barabarani.
Pamoja na kero Kwa watumiaji wengine Wa barabara mifugo huleta uchafuzi Wa mazingira Kwa maeneo ya mijini ikiwemo vumbi na vinyesi!
Ni wakati wako mkuu Wa mkoa piga marufuku ufugaji maeneo ya mijini!