Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya

Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya

Big Dy

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2015
Posts
494
Reaction score
606
Asubuh hii tumepoteza nguvu kazi nyingine kwa taifa, Kijana wa kitanzania akamatwa na madawa ya kulevya asubuh hii uwanja wa ndege wa JKI. So sad
 
Yani hizi harakati za Serikali kupambana na Madawa, Vijana wanaona ni movie bado tu wanajiripua?
 
Na hii sheria mpya huyo jamaa hachomoi!
Pole yake

Ova
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Asubuh hii tumepoteza nguvu kazi nyingine kwa taifa, Kijana wa kitanzania akamatwa na madawa ya kulevya asubuh hii uwanja wa ndege wa JKI. So sad
ka photo hakuna?, jina basi?
 
Asubuh hii tumepoteza nguvu kazi nyingine kwa taifa, Kijana wa kitanzania akamatwa na madawa ya kulevya asubuh hii uwanja wa ndege wa JKI. So sad
Kama umewahi hivi kupost,
Anaitwa nani,
Kakamatwa na madawa gani?
Kiasi gani
 
Asubuh hii tumepoteza nguvu kazi nyingine kwa taifa, Kijana wa kitanzania akamatwa na madawa ya kulevya asubuh hii uwanja wa ndege wa JKI. So sad
Mbona hapo ndio tumepata nguvukazi mpya?

Tembelea mashamba ya magereza ndio utaelewa somo.
 
Alikuwa anatokea Nchi gani?
Unga aliumeza au aliweka parking?
Huyo Jamaaa Kaisha kipindi kigumu kweli

Ova
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Magufuli atamsamehe tu ila hapendi watu washikwe ugenini mkuu.
Hasamehewi mtu sahv ukikutwa n'a grm zaidi ya 200 kesi ni kubwa,kuna watu Kama 7 mlpaka sasa wako ndani walikutwa n'a uzito huo wanakwrnda mwezi wa 5 kesi utakashikaji wa fedha....wauzaji wengi wamekimbilia à.kusini
Huko naona wanaonganisha kazi juu kwa juu

Ova
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hasamehewi mtu sahv ukikutwa n'a grm zaidi ya 200 kesi ni kubwa,kuna watu Kama 7 mlpaka sasa wako ndani walikutwa n'a uzito huo wanakwrnda mwezi wa 5 kesi utakashikaji wa fedha....wauzaji wengi wamekimbilia à.kusini
Huko naona wanaonganisha kazi juu kwa juu

Ova
Wewe unaonaje uwiano wa kesi na hukumu upo sawa??
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Asubuh hii tumepoteza nguvu kazi nyingine kwa taifa, Kijana wa kitanzania akamatwa na madawa ya kulevya asubuh hii uwanja wa ndege wa JKI. So sad
Alikuwa akiingia au akitoka?
 
Hasamehewi mtu sahv ukikutwa n'a grm zaidi ya 200 kesi ni kubwa,kuna watu Kama 7 mlpaka sasa wako ndani walikutwa n'a uzito huo wanakwrnda mwezi wa 5 kesi utakashikaji wa fedha....wauzaji wengi wamekimbilia à.kusini
Huko naona wanaonganisha kazi juu kwa juu

Ova
But THE MAIN TRANSIT ni HAPA.
Bado PWANI zetu hizi wanapenyapenya,juz si wamekamata jahaz lina mzigo?Jana wamemkamata raia wa peru akitokea BRAZIL.
Hapohapo SHAMBA LA BIBI
 
Back
Top Bottom