Habari ya muda huu
Wakati tumebaki na siku 33 kabla ya kufunga mwaka nina imani kila mmoja wetu anatafakari mwaka kesho afanye jambo gani ili aweze kupiga hatua hususani za kiuchumi katika Maisha...
amani iwe juu yenu.
leo katika pita pita zangu nimekutana na hiyo kitu hapo. Najua wikipedia ni mtandao ambao anybody can post or edit, hivyo kuufanya usiwe 100% authentic.
Ila kwa bodies kubwa...
Kama ilivyo kwenye vita ya kupambana na rushwa na ufisadi, hili kwake halina mjadala, na kimsingi ni suala jema.
Ni suala jema kwa sababu kodi inayokusanywa na serikali ndiyo inayotumika...
Wadau abari zenu kama kichwa cha abari kinavyosomeka Leo ni siku ya chajo kutokomeza mabusha na matende kwaiyo basi tujitokeze kwawingi tupate iyo chanjo kwenye zahanati zetu chanjo iyo ni buree...
Hivi fundi mitambo wa RTD Bwana Ali Said Tunku yuko wapi, mbobezi huyu alikuwa mala kwa mala katika gari la matangazo ya RTD lijulikanalo kama OB-VAN hususani kwenye matangazo ya mpira. Yuko wapi...
Ndugu wenzangu maisha yanazidi kuwa magumu mtaani lakini kila ukijaribu kufanya maarifa ili uweze kusimama bado hali ni tete. Zamani mtu alikuwa akisoma basi uhakika wa ajira ulikuwepo lakini ni...
Kuna zaidi ya 1trn / - katika fedha za kupunguza umasikini ambazo zimekaa tu zikisubiri maombi!
Kwa mujibu wa naibu waziri wa serikali katika ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira), Anthony...
Meneja Mkaazi wa Shirika la Ndege la Etihad nchini Tanzania, Bw. Ailende 'Allen' Okoromu
27 Novemba 2017- Dar es Salaam. Shirika la Ndege la Etihad Airways limemteua Ailende 'Allen' Okoromu kama...
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:
1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili...
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Mohamed Mpinga aliwaambia waandishi wa habari katika taarifa yake ya jana kuwa mbali na Minza, mwanaume mmoja pia alifariki dunia katika tukio tofauti.
Katika...
Tanzania tuna trafiki wengi vilaza sana na wagumu kuelewa.
Unakuta trafiki anasimama katikati ya mstari (chaki) katikati ya barabara huku magari yakipishana kwa kasi. Au mwingine badala ya...
Polisi inawashikilia vijana 33 kwa makosa ya kuwahadaa wasichana kimapenzi ieleweke hapa kosa sio kuhadaa ila ni KUWABAKA. Vijana hao almaarufu kwa jina la beach boys au dunga dunga wanapatikana...
Nimekaa na Kutafakari sana juu ya kile kinachoendelea hapa nchini kwa sasa na PICHA inayokuja kichwani inatisha na inanifanya nipoteze Amani na matumaini. Kwa giza lililopo kwenye picha hii hakuna...
habary zenu mabibi na mabwana!! kuna taarifa zinazagaa eti hakutakua na mauzo ya luku kwa muda wa siku tatu!nimeleta kwenu ili tujuzane kama ni oficial hizi taarifa au ndo upepo tu...
Wiki kama tatu zimepita nimewahi kuuliza kuhusiana na picha za mawe nilizoziweka hapa wengi walishauri niendelee kuhimiza vijana wachimbe zaidi ili kupata madini mengine, hivyo nami nilifanya kama...
IN FACT
YAJUE HAYA MAMBO MATANO AMBAYO YANAWEZA KUWA MAGENI KWAKO
01) MTU MREFU ZAIDI ALIE BADO HAI.
Ni SULTAN KOSEN mkulima wa kituruki ndie anaeshikilia rekodi ya kuwa mtu mrefu zaidi kwa...
----IN FACT----
FAHAMU AINA YA WATU UNAOTAKIWA KUACHANA NAO MAISHANI MWAKO
Unakosa furaha katika maisha yako kutokana na mambo mbalimbali,ikwemo mazingira,hapa namaanisha watu wanaokuzunguka...
Wadau
Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita Jumla ya Wasichana 624 wenye umri chini ya miaka 18 wamejifungua katika vituo mbalimbali vya kutolea huduma za Afya vilivyopo Manispaa ya Mpanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.