Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari ya muda huu Wakati tumebaki na siku 33 kabla ya kufunga mwaka nina imani kila mmoja wetu anatafakari mwaka kesho afanye jambo gani ili aweze kupiga hatua hususani za kiuchumi katika Maisha...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
amani iwe juu yenu. leo katika pita pita zangu nimekutana na hiyo kitu hapo. Najua wikipedia ni mtandao ambao anybody can post or edit, hivyo kuufanya usiwe 100% authentic. Ila kwa bodies kubwa...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Kama ilivyo kwenye vita ya kupambana na rushwa na ufisadi, hili kwake halina mjadala, na kimsingi ni suala jema. Ni suala jema kwa sababu kodi inayokusanywa na serikali ndiyo inayotumika...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Wadau abari zenu kama kichwa cha abari kinavyosomeka Leo ni siku ya chajo kutokomeza mabusha na matende kwaiyo basi tujitokeze kwawingi tupate iyo chanjo kwenye zahanati zetu chanjo iyo ni buree...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi fundi mitambo wa RTD Bwana Ali Said Tunku yuko wapi, mbobezi huyu alikuwa mala kwa mala katika gari la matangazo ya RTD lijulikanalo kama OB-VAN hususani kwenye matangazo ya mpira. Yuko wapi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu wenzangu maisha yanazidi kuwa magumu mtaani lakini kila ukijaribu kufanya maarifa ili uweze kusimama bado hali ni tete. Zamani mtu alikuwa akisoma basi uhakika wa ajira ulikuwepo lakini ni...
9 Reactions
29 Replies
5K Views
Kuna zaidi ya 1trn / - katika fedha za kupunguza umasikini ambazo zimekaa tu zikisubiri maombi! Kwa mujibu wa naibu waziri wa serikali katika ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira), Anthony...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Meneja Mkaazi wa Shirika la Ndege la Etihad nchini Tanzania, Bw. Ailende 'Allen' Okoromu 27 Novemba 2017- Dar es Salaam. Shirika la Ndege la Etihad Airways limemteua Ailende 'Allen' Okoromu kama...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni: 1.Kima 2.Ndedere 3.Tumbili...
2 Reactions
29 Replies
10K Views
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Mohamed Mpinga aliwaambia waandishi wa habari katika taarifa yake ya jana kuwa mbali na Minza, mwanaume mmoja pia alifariki dunia katika tukio tofauti. Katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania tuna trafiki wengi vilaza sana na wagumu kuelewa. Unakuta trafiki anasimama katikati ya mstari (chaki) katikati ya barabara huku magari yakipishana kwa kasi. Au mwingine badala ya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Polisi inawashikilia vijana 33 kwa makosa ya kuwahadaa wasichana kimapenzi ieleweke hapa kosa sio kuhadaa ila ni KUWABAKA. Vijana hao almaarufu kwa jina la beach boys au dunga dunga wanapatikana...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Leo magari ya UDART yalikuja kwa wakati na kwa wingi kiasi kwamba japo tulijaa lakini sio kama siku za nyuma. Nahisi kuna mabadiliko kwenye uongozi.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimekaa na Kutafakari sana juu ya kile kinachoendelea hapa nchini kwa sasa na PICHA inayokuja kichwani inatisha na inanifanya nipoteze Amani na matumaini. Kwa giza lililopo kwenye picha hii hakuna...
1 Reactions
3 Replies
830 Views
habary zenu mabibi na mabwana!! kuna taarifa zinazagaa eti hakutakua na mauzo ya luku kwa muda wa siku tatu!nimeleta kwenu ili tujuzane kama ni oficial hizi taarifa au ndo upepo tu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki kama tatu zimepita nimewahi kuuliza kuhusiana na picha za mawe nilizoziweka hapa wengi walishauri niendelee kuhimiza vijana wachimbe zaidi ili kupata madini mengine, hivyo nami nilifanya kama...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu habari za jioni,mliopata vitambulisho hivi mlichukua muda gani ,mlipo pigwa picha hadi kupewa vitambulisho ? Jioni njema
0 Reactions
12 Replies
2K Views
IN FACT YAJUE HAYA MAMBO MATANO AMBAYO YANAWEZA KUWA MAGENI KWAKO 01) MTU MREFU ZAIDI ALIE BADO HAI. Ni SULTAN KOSEN mkulima wa kituruki ndie anaeshikilia rekodi ya kuwa mtu mrefu zaidi kwa...
7 Reactions
8 Replies
3K Views
----IN FACT---- FAHAMU AINA YA WATU UNAOTAKIWA KUACHANA NAO MAISHANI MWAKO Unakosa furaha katika maisha yako kutokana na mambo mbalimbali,ikwemo mazingira,hapa namaanisha watu wanaokuzunguka...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita Jumla ya Wasichana 624 wenye umri chini ya miaka 18 wamejifungua katika vituo mbalimbali vya kutolea huduma za Afya vilivyopo Manispaa ya Mpanda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom