Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,958
Wadau
Inadaiwa kuwa wavuvi 3 wametoswa baharini huko mafia na hii baada ya kukutwa wakivua katika eneo la hifadhi ya bahari.
Kufuatia madai hayo Naibu Waziri Uvuvi na Mifugo Mhesh Abdalah Ulega amemuagiza mkuu wa Wilaya Mafia kuunda Tume mara moja kuchunguza suala hilo. Amesema ni kosa kisheria kumtosa mtu baharini hata kama amekutwa abavua sehemu isiyoruhusiwa.
Hata hivyo wavuvi hao ambao pia walipokwa mtumbwi, leseni na simu kabla ya kutoswa baharini walifanikiwa kuokolewa na wavuvi wenzao masaa manne baadaye.
Source: MCL
Inadaiwa kuwa wavuvi 3 wametoswa baharini huko mafia na hii baada ya kukutwa wakivua katika eneo la hifadhi ya bahari.
Kufuatia madai hayo Naibu Waziri Uvuvi na Mifugo Mhesh Abdalah Ulega amemuagiza mkuu wa Wilaya Mafia kuunda Tume mara moja kuchunguza suala hilo. Amesema ni kosa kisheria kumtosa mtu baharini hata kama amekutwa abavua sehemu isiyoruhusiwa.
Hata hivyo wavuvi hao ambao pia walipokwa mtumbwi, leseni na simu kabla ya kutoswa baharini walifanikiwa kuokolewa na wavuvi wenzao masaa manne baadaye.
Source: MCL