Ninavyoona Watu wengi Wamechoka!!

Ninavyoona Watu wengi Wamechoka!!

streat Anthem

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
395
Reaction score
476
Hili jambo niliiona kupitia kwangu ila nikaja kuliona kwa watu wengine.

Wengine walivyoonesha ni kuwa wamechoka na kuchoshwa.

Naamini kuna namna umechoka au umechoshwa. Unaweza kujiexpress??
 
Mimi nilikuwa na nguvu zangu ila nimechoshwa chama kiwe cha waliochoka wenyewe na waliochoshwa
 
Mimi nilikuwa na nguvu zangu ila nimechoshwa chama kiwe cha waliochoka wenyewe na waliochoshwa


hahahahhaha sure ! bas mie nitaandaa sehem 2 waliOCHOKA NA WALIOCHOSHWA !


WALIOCHOSHWA WALIOCHOKA

#1 .MBITIYAZA
2.@JINGOLOJI
3..........
 
Chama haramu lazima tukiondoe la sivyo hakuna kusonga mbele
 
Wengi wamechoka na Hali ya uchumi, mahusiano, siasa, umasikini na mengine mengi sana.
Huu ndio uwanja wako wa kuonesha ni kwa jinsi gani umechoka.
Usisite kutupia hata neno moja, inaweza kuwa ni hatua ya kukupatia ufumbuzi wa tatizo lako.

Karibuni..
 
Uzuri ni kuwa wale waliokuwa wanaimba wapinzani wataisoma namba ndio wao wanaisoma zaidi! kaza kamba baba Jesca hadi huo wimbo waimbe kwa kilantini.
 
Mi sielewi magufuli anapata raha gani kuona watanzania wana maisha magumu!! Nataman na yeye angepigwa chini aje huku mtaani apigwe jua wiki mbili tu alafu arudishwe ikulu... Nadhan asingefanya ujinga anaofanya sasa ivi!!
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Hili jambo niliiona kupitia kwangu ila nikaja kuliona kwa watu wengine.

Wengine walivyoonesha ni kuwa wamechoka na kuchoshwa.

Naamini kuna namna umechoka au umechoshwa. Unaweza kujiexpress??
Njaa mbaya sana mhe.mwenyekiti bado sijakatwa mkia kama kunanafasi unitumie vizuri. masha
 
Back
Top Bottom