GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 541
Jamani, mamlaka husika mkoani geita, tafadhali sisi kama wananchi wa katoro, tunaomba watumishi wa dispensary hii wachunguzwe, wagonjwa wanazidiwa, bila huduma yeyote kupewa, waganga na manesi wanapiga story tu....
Fikiria mtu anafika asubuhi mpaka saa hizi hajaonana na mganga, wakati huo wapo wamejifungia wanapiga story tu.....
Enyi wauguzi na waganga wa dispensary ya katoro badilikeni, mnamuangusha rais wetu, kumbukeni kuna maelfu ya watu wanahtaji hizo nafasi za kazi.... Mnapozipata msijione miungu watu, mnahudumia wagonjwa kwa muda mnaotaka bila kujali hali za wagonjwa.
Mamlaka husika lichunguzeni hili jambo.
Fikiria mtu anafika asubuhi mpaka saa hizi hajaonana na mganga, wakati huo wapo wamejifungia wanapiga story tu.....
Enyi wauguzi na waganga wa dispensary ya katoro badilikeni, mnamuangusha rais wetu, kumbukeni kuna maelfu ya watu wanahtaji hizo nafasi za kazi.... Mnapozipata msijione miungu watu, mnahudumia wagonjwa kwa muda mnaotaka bila kujali hali za wagonjwa.
Mamlaka husika lichunguzeni hili jambo.