Ukweli bayana unathibitika alichoongea Donald Trump

Ukweli bayana unathibitika alichoongea Donald Trump

impongo

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
8,846
Reaction score
7,904
Ni ukweli mtupu tunajidhalilisha wenyewe

1.Tunaweka nywele (mawigi) ili tufanane na wazungu kwa nini tusidharaulike?

2.Tunaweka mikorogo (kujichubua) ili tufanane na wazungu kwanini tusidharaulike?

3.Tunajichora mwili mzima tufanane na wazungu kwanini wasitudharau?

4.Tunasoma shuleni kwa kutumia lugha zao utadhani hatuna lugha zetu mama kwanini wasitudharau?

5.Tunashindwa kusimamia Rasirimali zetu ili kujenga inchi zetu kuwa na uchumi imara kwanini wasitudharau?

6.Tunakosa Uzalendo tunabaguana sisi kwa sisi kwa nini wao wasitudharau?

7.Wahamiaji haramu kila kukicha wanazama Baharini wakielekea kusaka maisha bora ulaya na America wakati sisi ndio wenye rasirimali lakini tumeshidwa kuzitumia Serikali zetu zina viongozi mafisadi wasio kuwa hata na chembe ya utu kwanini wasitudharau?

8.Vijana wanaomaliza vyuo hawajui kesho yao wanatamani kwenda ulaya kusaka maisha bora wakati tuna rasirimali za kutosha kuwasaidia vijana wote lakini viongozi wa Serikali za kiafrika na familia zao wamekuwa ndio wenye haki miliki ya kila kitu vijana masikini hawana mutetezi kwanini tusidharaulike?

9.Gharama za kujiajiri katika inchi za kiafrica kwa vijana wanaomaliza vyuo ni kubwa kwa maana ya kodi katika mamlaka husika mwanafunzi anayemaliza chuo ametoa pesa wapi za kulipa kodi?

10.Kama hatutaki kujenga uchumi imara tunawategemea wao kwanini wasitudharau?

11.Haiti ni maskini wakutupwa wanachojua ni uchawi tuu hawataki kufanya kazi ni kubwia unga na ugolo bangi kwanini tusidharaulike?


MWISHO KAMA HATUWEZI KUWA WAZALENDO KUSIMAMIA RASILIMALI ZETU KUKUZA UCHUMI HATUNA JINSI LAZIMA WATUTUKANE TU.

Tukubali tutukanwe tujue mapungufu yetu tujilekebishe kukuza uchumi wetu.
 
Hivi ni kweli wazungu hawana raslimali hizo au ni porojo
 
Mkuu bora udharaulike peke yako na hao wenzio sio na mimi! wazungu wapumbavu tu. Vitabu vya dini vimekataza kufirana lakini wao wanasema ni katika haki za binadamu...
Kwanza we huoni jamaa mwenyewe anavyofanana na nguruwe?
 
Mkuu bora udharaulike peke yako na hao wenzio sio na mimi! wazungu wapumbavu tu. Vitabu vya dini vimekataza kufirana lakini wao wanasema ni katika haki za binadamu...
Kwanza we huoni jamaa mwenyewe anavyofanana na nguruwe?
Mkuu, Kaeni kwenu uone kama watawatusi ni kwasababu tunakimbia kwetu kukimbilia kwao tujipende tulivyo uone kama hatuendelei uzalendo sio somo kila MTU akipenda chake lazima awe mzalendo.
Mtu unajichubua, uwe mweupe unavaa nywele za mait ili uonekane mzugu kwanini tusidharaulike?
 
Hiyo namba 4 umeitafakari vizuri kweli? Ukiifiria vizuri utagundua kuwa hata hicho unachotaka kifundishwe kwa lugha zetu ni cha kwao pia. Mfano utataka ufundishe physics kwa kiswahili, hebu nipe contribution ya waswahili kwenye physics? Hatuna cha kulingia.
Licha ya hivyo, usipende kutukanwa tukanwa hata kama ni tusi la kweli. Ukitukanwa fanya kama Zidane, au rusha tusi kali zaidi. Kama huwezi kaa kimya.
 
Mkuu bora udharaulike peke yako na hao wenzio sio na mimi! wazungu wapumbavu tu. Vitabu vya dini vimekataza kufirana lakini wao wanasema ni katika haki za binadamu...
Kwanza we huoni jamaa mwenyewe anavyofanana na nguruwe?
Wanafanana na nguruwe lakini waafrika wanatamani kufanana nao ndio maana unaona wanajichubua wake kwa waume.
 
Mkuu bora udharaulike peke yako na hao wenzio sio na mimi! wazungu wapumbavu tu. Vitabu vya dini vimekataza kufirana lakini wao wanasema ni katika haki za binadamu...
Kwanza we huoni jamaa mwenyewe anavyofanana na nguruwe?
Kwan hvyo vitabu vya dini katuletea nani kama sio wao..!!
 
Hiyo namba 4 umeitafakari vizuri kweli? Ukiifiria vizuri utagundua kuwa hata hicho unachotaka kifundishwe kwa lugha zetu ni cha kwao pia. Mfano utataka ufundishe physics kwa kiswahili, hebu nipe contribution ya waswahili kwenye physics? Hatuna cha kulingia.
Licha ya hivyo, usipende kutukanwa tukanwa hata kama ni tusi la kweli. Ukitukanwa fanya kama Zidane, au rusha tusi kali zaidi. Kama huwezi kaa kimya.

Mkuu unataka kusema kuwa chemistry ,physics , biology haiwezi fundishwa kwa kiswahi inawezekana tena sana.
Mfano Korea,China, Arabic,Spain,Hebrew Israel, Japan, na wengine wengi wanafundisha kwa lugha zao.
Inawezekana kabisa
 
3.Tunajichora mwili mzima tufanane na wazungu kwanini wasitudharau?
hili ni la kwetu wamakonde masai hawajaanza leo kujichora ila
ukweli ni huu tunatukanwa na tunastahili kutukanwa na na wanaotukanwa si sisi bali ni viongozi wetu ambao wamekuwa wajinga kupita kiasi kwa hao watu.
sioni logic ya viongozi wetu kuiba mali zetu na kwenda kufanya uwekezaji kwa wazungu
sioni logic ya viongozi wetu kuto kuwa wevi though katiba za nchi zetu zinawafeva mnooo
sioni logic ya viongozi wetu kushindwa kuandaa tiba bora africa na kukimbilia kwa wazungu kwa matibabu?
 
Mkuu unataka kusema kuwa chemistry ,physics , biology haiwezi fundishwa kwa kiswahi inawezekana tena sana.
Mfano Korea,China, Arabic,Spain,Hebrew Israel, Japan, na wengine wengi wanafundisha kwa lugha zao.
Inawezekana kabisa
Hata mie sijasema kuwa huwezi kuizifundisha kwa kiswahili, hoja yangu ni kuwa hata hayo maarifa unayotaka yafundishwe kwa kiswahili ni ya kwao!
 
3.Tunajichora mwili mzima tufanane na wazungu kwanini wasitudharau?
hili ni la kwetu wamakonde masai hawajaanza leo kujichora ila
ukweli ni huu tunatukanwa na tunastahili kutukanwa na na wanaotukanwa si sisi bali ni viongozi wetu ambao wamekuwa wajinga kupita kiasi kwa hao watu.
sioni logic ya viongozi wetu kuiba mali zetu na kwenda kufanya uwekezaji kwa wazungu
sioni logic ya viongozi wetu kuto kuwa wevi though katiba za nchi zetu zinawafeva mnooo
sioni logic ya viongozi wetu kushindwa kuandaa tiba bora africa na kukimbilia kwa wazungu kwa matibabu?
Afrika bado tuna shida kubwa kwa style hii hatuwezi kuendelea
 
3.Tunajichora mwili mzima tufanane na wazungu kwanini wasitudharau?
hili ni la kwetu wamakonde masai hawajaanza leo kujichora ila
ukweli ni huu tunatukanwa na tunastahili kutukanwa na na wanaotukanwa si sisi bali ni viongozi wetu ambao wamekuwa wajinga kupita kiasi kwa hao watu.
sioni logic ya viongozi wetu kuiba mali zetu na kwenda kufanya uwekezaji kwa wazungu
sioni logic ya viongozi wetu kuto kuwa wevi though katiba za nchi zetu zinawafeva mnooo
sioni logic ya viongozi wetu kushindwa kuandaa tiba bora africa na kukimbilia kwa wazungu kwa matibabu?
Afrika bado tuna shida kubwa kwa style hii hatuwezi kuendelea
 
Hata mie sijasema kuwa huwezi kuizifundisha kwa kiswahili, hoja yangu ni kuwa hata hayo maarifa unayotaka yafundishwe kwa kiswahili ni ya kwao!
Tukifundisha kwa lugha yetu itatusaidia kuvumbua ya kwetu na kuongeza maarifa kukuza lugha zetu
 
Back
Top Bottom