Usafi NHC: OSHA mpo wapi?

Usafi NHC: OSHA mpo wapi?

whitehorse

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2009
Posts
2,570
Reaction score
4,455
Wana JF leo nimeshuhudia usafi kabambe unafanyika pale jengo la NHC Mtaa wa Samora. Jengo zuri maridhawa kabisa lakini limejengwa kwa vioo na kuna floor za vioo zinatazama barabarani.

Kwanza maji yanayomwagwa yanamiminikia barabarani na wapita njia na wenye magari yanamwagika hovyo usipogundua kama unapita kwa mguu unalowa na maji machafu na pia wale wafanya usafi sasa hawana vifaa vya kujizuia na hatari yoyote wafanyapo usafi. Wanapiga usafi kwenye floor imejengwa kwa kioo wanamwaga maji ya sabuni na hawana cha kujizuia wanapoanguka hivi NHC wanapotoa hizi tender za usafi wanazingatia viwango vya ubora au ndio dharau kwa wahudumu wa usafi?

OSHA mko wapi mnalala usingizi wa pono wakati haya yanatokea kwenye jiji kubwa kama hili ? Hivi huwa mnapita kwenye haya majengo na kuchungulia haya?

Mwisho wa siku wanaodondoka na kufariki ni wahudumu wasio na sauti wala pesa.

Kazi kwenu NHC na OSHA laleni na likitokea la hatari mtanyoosha maelezo kwenye makaratasi yenu ya maelezo kuwa hamkuwa na taarifa
11a5d1ec4a1a0f4e4d5f3eadcf71abbd.jpg
c2e316ac0c2186f9ff756008c4243a23.jpg
 
Wana JF leo nimeshuhudia usafi kabambe unafanyika pale jengo la NHC Mtaa wa Samora. Jengo zuri maridhawa kabisa lakini limejengwa kwa vioo na kuna floor za vioo zinatazama barabarani.

Kwanza maji yanayomwagwa yanamwagwa barabarani na wapita njia na wenye magari yanamwagika hovyo na pia wale wafanya usafi sasa hawana vifaa vya kujizuia na hatari yoyote wafanyapo usafi. Wanapiga usafi kwenye floor imejengwa kwa kioo wanamwaga maji ya sabuni na hawana cha kujizuia wanapoanguka hivi NHC wanapotoa hizi tender za usafi wanazingatia viwango vya ubora au ndio dharau kwa wahudumu wa usafi?

OSHA mko wapi mnalala usingizi wa pono wakati haya yanatokea kwenye jiji kubwa kama hili ? Hivi huwa mnapita kwenye haya majengo na kuchungulia haya?

Mwisho wa siku wanaodondoka na kufariki ni wahudumu wasio na sauti wala pesa.

Kazi kwenu NHC na OSHA laleni na likitokea la hatari mtanyoosha maelezo kwenye makaratasi yenu ya maelezo kuwa hamkuwa na taarifa
11a5d1ec4a1a0f4e4d5f3eadcf71abbd.jpg
c2e316ac0c2186f9ff756008c4243a23.jpg

Kuna Siku nilikoswa koswa na vipande vya chuma pale Makao Makuu ya Bank ya Posta Mtaa wa Azikiwe na Ghana Jamaa wanachomelea grill juu bila ya kuweka kizuizi chochote na vipande vya chuma vyenye Moto vinaruka tuu hovyo!
Usipokereka bongo hukereki popote
 
Kuna Siku nilikoswa koswa na vipande vya chuma pale Makao Makuu ya Bank ya Posta Mtaa wa Azikiwe na Ghana Jamaa wanachomelea grill juu bila ya kuweka kizuizi chochote na vipande vya chuma vyenye Moto vinaruka tuu hovyo!
Usipokereka bongo hukereki popote


Inakuwa ni kama mazoea watu kufanya kazi za hatari bila sign boards wala vifaa vya kujikinga wao wenyewe wafanya kazi na wapita njia pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom