Mdogo mdogo dini zitakosa wafuasi

Mdogo mdogo dini zitakosa wafuasi

habari ya hapa

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
12,789
Reaction score
8,753
Mungu ni mwema niko na afya na mwenye nguvu, nakusalimuni nyote popote mlipo, amani iwe nanyi.

Naona mdogo mdogo watu wameanza kustuka kuhusu hizi dini, kwamba michango imekuwa mzigo makanisani, mpaka mtu unaogopa kwenda km huna hela,

Sadaka tu vikapu kibao, na amini si muda mrefu kutoka sasa itachukua watu watakuwa wameelewa kwamba dini zilikuja kwa makusudio Fulani kwa faida za watu au kikundi Fulani.

Wale wote ambao walisha shtukia dili za hawa watu nakuombeni tuendeleee kuuambia ulimwengu juu ya dini, kwamba dini ni biashara km biashara zingine tu

Dini sio Mungu na Mungu sio dini,

Dini ilikuwa ni mawazo ya watu tu kuhusu Mungu.

Chukueni hatua
 
Wanaomtafuta Mungu wa kweli hawezi pungua, wanaokwenda show kwenye I baada hao ndo watapungua kwa sababu ya manadiliko ya taratibuuuuu za dini zao, lakini wamngojao bwana wanapata nguvu mpya wakati wote na kuwa imara zaidi.
 
Wanaomtafuta Mungu wa kweli hawezi pungua, wanaokwenda show kwenye I baada hao ndo watapungua kwa sababu ya manadiliko ya taratibuuuuu za dini zao, lakini wamngojao bwana wanapata nguvu mpya wakati wote na kuwa imara zaidi.
Punguzeni michango ili kila mmoja aweze kuja na kukisikilizeni
 
utasubiri sanaaaa afu ujue ungezungumzia siasa ingependeza zaid vp napataje kadi ya uanachama ya act mkuu
 
Mungu Ni Mwema Sana
Jina La Bwana Libarikiwe Sana

Vilima Vitashushwa Mabonde Yatajazwa
Mfalme Wa Utukufu Apate Kuingia
************************************
Mtawatambua Kwa Matendo Yao
 
Mungu Ni Mwema Sana
Jina La Bwana Libarikiwe Sana

Vilima Vitashushwa Mabonde Yatajazwa
Mfalme Wa Utukufu Apate Kuingia
************************************
Mtawatambua Kwa Matendo Yao
Mtumishi ubarikiwe sana,

Lazima watu waijue kweli
 
Back
Top Bottom