Umeongea kwa kujipangia au unaijua mipango ya jiji? Mbona walisema wanajenga pale na bajeti ya 2017/2018 jiji walitenga 1b kwa ajili ya kuanza ujenzi lakini kimya?Angalia foleni ya kutoka ubungo hadi Mbezi two hours! Mabasi yote yataacha wasafiri!? And by the way kule ni milimani Hakuna uwezekano reli kufika! Hivyo plan ya baadae itakwama
ndugu bado Unadhan tuna mpango wowote au Mapendekezo ya kisiasa!?Umeongea kwa kujipangia au unaijua mipango ya jiji? Mbona walisema wanajenga pale na bajeti ya 2017/2018 jiji walitenga 1b kwa ajili ya kuanza ujenzi lakini kimya?