Kwa mujibu wa mwanasheria mkuu, muswada wa fao la kujitoa unafikiriwa kuwasilishwa na iwapo hautowasiliishwa, basi wabunge wataamua juu ya hatima ya fao la kujitoa.
Maelezo hayo ya mwanasheria...
Watz, ni watu wa matukio sana,
Babu wa Loliondo alipovuma maprofesa na watu wenye elimu na akili zao timamu walipigwa ganzi kabisa na kumuamini kwa 100% na hata kuna mmoja ambaye hivi sasa ni...
Tanzania Daima, linaripoti kuwa, mapendekezo kuhusu fao la kujitoa kutua bungeni.
Ukimsikiliza Mheshimiwa Mavunde katika maelezo yake kwa mbunge aliyetaka kufahamu juu ya fao la kujitoa ni...
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limeokoa kiasi cha Sh. bilioni 160 kwa kipindi cha mwaka mmoja kutokana na kudhibiti malipo hewa ya fao la kujitoa, imeelezwa.
Mkurugenzi Mkuu wa...
Ukatili wa kijinsia ni ukatili wowote unaofanywa na mtu kumfanyia mtu mwingine bila kujali umri maumbile kabila rangi dini au mitazamo tofauti ya kisiasa au mingine.
Lakini hii inaweza kuwa...
Wanajamvi ; mgawo wa umeme ulikuwa umekwisha lakini baada ya utafiti mdogo kila siku maeneo ya Temeke [; Umeme umekuwa wa mgawo.
Jana na juzi umeme unakatika saa 2:58 usiku ; kurudi asubuhi...
Binafsi naomba tamko la mkuu wa nchii hii kuhusu hii mifuko ya hifadhi ya jamii maana sasa imekuwa ni taabu tupu.
Mara ya kwanza NSSF mlikubali mwanachama anaweza kufungua madai ya kujitoa baada...
LAPF imewatoa hofu wanachama wake kuwa faomla kujitoa bado linatolewa na mfuko huo kisheria
Meneja wa mafao wa mfuko huo Mkeyenge Ramadhani amesema ili kutoa kitu chochote ambacho kipo kisheria ni...
Wadau,
Mimi nimefanya kazi miaka 12 nikaamua kuacha kazi nikiwa na biashara zangu ndogo ndogo nikajua kiasia nilichonacho NSSF around 60milioni ingeniwezesha kupanua biashara zangu na kwenda...
Hivi Kwa Nini TUCTA Hawazungumzii Fao La Kujitoa?
Tangu uongozi mpya wa TUCTA chini ya akina Tumaini Nyamhokya uanze kazi, sijawahi kuusikia ukizugumzia fao la kujitoa, tofauti na uongozi...
Nimetazama tangazo la pipi nadhani kama aikosei ambalo linamuonyesha Benpol akiwa kama msanii wa uchoraji anachora picha na wasichana wanapita njiani anawaita anawaambia "unaona" amekazana halafu...
Habari wakuu!
Japo ni mtembeaji sijawahi ku apply Visa Ubalozini, ama nimeingia kwa free visa/entry permit kwa nchi za ki Africa, nje ya Africa nimekuwa nikitumiwa visa.....
Kwa Wazoefu au...
Mh kalisti lazaro Meya wa jiji la Arusha amefanikisha maonyesho ya kimataifa kwa makampuni yanayo fanya shughuli zake ndani ya jiji la Arusha mh Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Mambo ya ndani Suzan...
Wadau
Huo ni ujumbe maalumu unaoelekezwa kwetu sote katika kampeni maalumu ya kupinga ukatili wa kijinsia. Kampeni hiyo itakuwa ya siku 16 kuanzia leo tarehe 25/12/2017
Kauli Mbiu: Funguka
Karibuni.
Nimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi.
Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi...
Bwana Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Mbarak Kajia auawa na kundi la watu wasiojulikana kwa kupigwa mawe alipokuwa akitekeleza majukumu yake wilayani Kilindi mkoani Tanga.
JESHI la polisi nchini limesema hadi sasa hakuna watu waliojitokeza kutambua au kulalamika kwamba wamepoteza ndugu zao kufuatia kuwapo kwa idadi kubwa ya miili inayookotwa maeneo mbalimbali...