serikali haijatoa tamkoInauma sana, kuna jamaa yangu aliambiwa a-claim baada ya miezi sita tangu alipoacha kazi, kwani utaratibu ukoje kwa sasa?
I hope watu wakitoa ushirikiano tutapata namba zao maana si siri, ni wawakilishi wetu. Hakuna namna, lazima tuwasisitize watupazie sauti...tudhulumiwe tukijua angalau tulijaribu kufurukutaNjia nzuri sana ila kupata namba za waheshimiwa ni ngumu mfano kama mimi mbunge wangu kigamboni ni dk. Faustine Ndugulile namba yake sina na nimetafuta bila mafanikio
Serikali ya wanyongeserikali haijatoa tamko
Hilo ni jambo la kundi dogo tu, hivyo halina maslahi mapana kwa Taifa, labda lingetuhusu sisi wakulima. Njooni huku shamba enyi wapiga dili.Habari wanajamvi,
Kwa yeyote mwenye kujua juu ya suala la Sheria ya fao la kujitoa katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
a)Lini itajadiliwa?
b) Kuna uwezekano wa kurudishwa kuwa kama awali?
c) Serikali ina mpango gani juu ya suala hili?
Kwa yeyote mwenye majibu au taarifa katika hili tafadhali atujuze hapa, nawasilisha.