CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
Tanzania Daima, linaripoti kuwa, mapendekezo kuhusu fao la kujitoa kutua bungeni.
Ukimsikiliza Mheshimiwa Mavunde katika maelezo yake kwa mbunge aliyetaka kufahamu juu ya fao la kujitoa ni kwamba, suala hilo lipo mbioni kufikishwa bungeni. Anaongeza Mheshimiwa waziri kwamba, serikali inatafuta namna nzuri ya kuwalipa wanaopoteza ajira kabla ya kufikisha umri wa miaka 55 au 60.
Je, wakati wao wakipanga haya mambo, kwa kipindi hiki ambacho kuna watu wameshapoteza ajira inakuaje? Je, watu waliopoteza ajira waendelee kutaabika wakati wao wakipanga mambo yao? Na kwa nini waliopoteza ajira kwa sasa wasiruhusiwe kuchukua pesa zao kwanza wakati wao wakipanga yao?---Haya ni maswali ambayo waheshimiwa wabunge ilitakiwa kimsingi waulize, lakini, no body cares! Vyama vya wafanyakazi nao, they don't care, it's like everything is fine, na hakuna kinachoendelea? Jamani, hivi kuna nini nchi hii? Hivi vyama vya wafanyakazi vinavuna pesa za wanachama wake kila mwezi, tena nyingi tu. Sasa kwa nini hawachukui hatua madhubuti kuwatetea wanaofanya waitwe viongozi wa trade unions, kwa nini hawawatetei wanaofanya walipane mishahara na posho mbalimbali....Enyi TUCTA....mpo kweli nchi hii au mpo nje ya Tanzania? Hivi hamuoni kuwa watu wanaumia mitaani?
Ukimsikiliza Mheshimiwa Mavunde katika maelezo yake kwa mbunge aliyetaka kufahamu juu ya fao la kujitoa ni kwamba, suala hilo lipo mbioni kufikishwa bungeni. Anaongeza Mheshimiwa waziri kwamba, serikali inatafuta namna nzuri ya kuwalipa wanaopoteza ajira kabla ya kufikisha umri wa miaka 55 au 60.
Je, wakati wao wakipanga haya mambo, kwa kipindi hiki ambacho kuna watu wameshapoteza ajira inakuaje? Je, watu waliopoteza ajira waendelee kutaabika wakati wao wakipanga mambo yao? Na kwa nini waliopoteza ajira kwa sasa wasiruhusiwe kuchukua pesa zao kwanza wakati wao wakipanga yao?---Haya ni maswali ambayo waheshimiwa wabunge ilitakiwa kimsingi waulize, lakini, no body cares! Vyama vya wafanyakazi nao, they don't care, it's like everything is fine, na hakuna kinachoendelea? Jamani, hivi kuna nini nchi hii? Hivi vyama vya wafanyakazi vinavuna pesa za wanachama wake kila mwezi, tena nyingi tu. Sasa kwa nini hawachukui hatua madhubuti kuwatetea wanaofanya waitwe viongozi wa trade unions, kwa nini hawawatetei wanaofanya walipane mishahara na posho mbalimbali....Enyi TUCTA....mpo kweli nchi hii au mpo nje ya Tanzania? Hivi hamuoni kuwa watu wanaumia mitaani?