Ni condition ambayo mtu/mtoto anashindwa kuandika,kusoma ama spelling,
nimeiona hii nikafikiri,
labda wale wanaosemwa wamemaliza elimu ya msingi bila kujua kusoma,wana hili tatizo......
Mzigo...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha miaka 10 jela mfanyabiashara Gairo Mtozoma (43) kwa kosa kupatikana na silaha na risasi kinyume cha taratibu.
Mshtakiwa...
1. Harar, Ethiopia
2. Jimbo la Jujuy, Argentina
3. Tbilisi, Georgia
4. Sydney, Australia
5. Oaxaca, Mexico
6. Viena, Austria
7. North Shore Oahu, Hawaii
8. Malmo, Sweden
9. Jordan Trail...
Raisi kashajua watumishi wa tanzania ni mazuzu. Kwamba mshahara tunapata kwa ajili ya chakula na hatuna jinsi hatuwezi kuacha kazi. Kwa huo mtazamo raisi kashawaona watumishi walala hoi, watoto...
Wakuu habari?
Kama nilivyotangulia hapo nategemea kufika mkoa wa Morogoro kuanzia mwezi January, 2018 hasa katika shughuli hiyo ya kilimo, hasa mboga mboga.
Naombeni wenyeji mnijuze ni wilaya ipi...
Hapo vip!!
Kuna hii taasisi inaitwa VICOBA(www.wezeshavkoba.wapka.mobi) na makao makuu yapo Dodoma.
Taasisi imejinasibu katika mitandao yakwamba inatoa mikopo and infact vigezo vyao ni simple...
Mkulima mmoja alikuwa na Punda aliyedumu nae kwa miaka mingi sana akimsaidia shughuli za kilimo na uchukuzi. Alikaa naye toka akiwa mtoto mpaka punda akawa mzee kabisa.
Siku moja wakiwa wanatoka...
Kwa hili Tanesco kisarawe hatuwezi kulivumilia,kwani nimelipia kuunganishiwa umeme nyumbani kwangu majohe huu mwezi wa pili toka nimelipia,sihitaji nguzo kwangu,lakini mpaka leo hii ni siku 60 za...
TANESCO imesema hitilafu imetokea katika mashine namba tatu ya kuzalisha umeme kwa njia ya gesi asilia kituo cha Ubungo II.
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa...
DR LOUIS SHIKA leo alitembelea ktk mkutano wa kufunga kampeni za udiwani kata ya Mhandu. Shika amesema kuwa CCM ikishinda kata zote 43 ITAPENDEZA Zaidi.
#Note Pembeni yake ni aliyekuwa katibu wa...
Muda huu Jengo la Studio za Clouds Media Group linaungua moto
More update
=======
UPDATES;
=> Sehemu ya jengo la kituo cha Chouds Media Group linaungua moto muda huu. Juhudi za kuuzima moto...
Nashindwa hata kuandika baada ya kusoma yaliyomo kwenye muswada huo. Kifupi ni maumivu, enyi TUCTA, enyi wabunge, tusaidieni hiki kinachokwenda kufanyika kwa kweli ni kutiana umasikini...
Maisha kweli yana siri kubwa sana, wakati huu wa Magufuli vilio vingi vimesikika kwa watanzania kwamba maisha ni magumu na pesa imepotea sana, ajira hakuna, vitu vinapanda bei sana na kadhalika na...
Habari za muda huu waungwana,
Naamini mapambano yanaendelea katika kufanikisha ujenzi wa Tanzania bora......
Jana mnamo saa moja na robo asubuhi nlipigiwa simu na kupewa taarifa kuwa mmoja wa...
Wakuu,
IGP Simon Siro ameahidi kulipatia Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani Magari mawili kukabiliana na uhaba wa magari. Magari hayo ni sehemu ya magari 50 yaliyokutwa bandarini DSM kufuatia ziara...
Heshima kwenu wana Jf, nimekuta kamshahara kangu kamefyekwa na bodi ya mikopo ya elimu ya juu wakati sijafaidika na mkopo huo kwani nilisoma kwa kutumia vyanzo vingine vya mapato.
Nifanyeje ili...
Habarini wakuu kama tthred inavosema, mwenye kukifahamu kiwanda cha nywele cha ANGELS kilipo au mwenye details na hiko kiwanda ani pm
Natangulia shukrani