Msaada: Kilipo kiwanda cha nywele cha angels

Msaada: Kilipo kiwanda cha nywele cha angels

zugazuga na mimi

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
241
Reaction score
77
Habarini wakuu kama tthred inavosema, mwenye kukifahamu kiwanda cha nywele cha ANGELS kilipo au mwenye details na hiko kiwanda ani pm
Natangulia shukrani
 
hapa bongo wana mawakala nadhani ila kuna kiwanda kipo mbagala ila sio angel kuna viwanda vingi vya brand tofauti mkuu
 
zama mbagala kiwandani maana rasta watu hawachagui zozote wanasuka tu.japo juzi nilichukua rasta moja imeandikwa masai ya angel ni buku jumla kariakoo msusi alisema ni nzuri sana .ndo nimesuka hapa ila ipo kidoogo maana bunda tano limeishia kichwani japo ni chache
 
zama mbagala kiwandani maana rasta watu hawachagui zozote wanasuka tu.japo juzi nilichukua rasta moja imeandikwa masai ya angel ni buku jumla kariakoo msusi alisema ni nzuri sana .ndo nimesuka hapa ila ipo kidoogo maana bunda tano limeishia kichwani japo ni chache
sawa mkuu
 
Ukitokea Kariakoo panda gari za Kariakoo - Tuangoma/Kongowe halafu shukia kituo kinaitwa Kanisani ni kituo cha kwanza baada ya Mbagara rangi 3, uliza hapo utaoneshwa njia ya kuelekea huko Kiwandani!
 
Kuna kiwanda kingine cha rasta Sinza njia ya Makaburini-Mlimani City next na ule ukumbi mpya mzuri mzuri (jina nimeusahau, ila sio wa Mwika)
 
sijui ni mbagala ipi ila ulizia ukifika huko kuna rasta kwa jumla unapata hata kwa sh mia tano
Yaani kuhangaika kote huko mtu anatafuta nywele bandia.mkikaa na nywele za asili mtakufaa? Kazi kujishebedua tu looooooo!
 
Back
Top Bottom