Tanesco Kisarawe ni wababaishaji

Tanesco Kisarawe ni wababaishaji

Pilimi

Member
Joined
Mar 23, 2009
Posts
67
Reaction score
14
Kwa hili Tanesco kisarawe hatuwezi kulivumilia,kwani nimelipia kuunganishiwa umeme nyumbani kwangu majohe huu mwezi wa pili toka nimelipia,sihitaji nguzo kwangu,lakini mpaka leo hii ni siku 60 za kazi zimepita toka nimelipia.Kila ukienda unaambiwa vifaa bado hatujafuata mkoani.cha ajabu wiki iliyopita walisema vifaa vyote kwa waliolipia mwezi wa nne vimeletwa toka mkoani na wiki hii manager akatuhakikishia kuwa tufungiwa umeme.Cha ajabu kila ukipigia simu manager anasema utafungiwa subiri wiki bado hajaisha.leo nimempigia manager anasema kuna baadhi ya vifaa hawakupewa mkoani.ndio wanafuata leo.Sasa siku zote manager asema vifaa vipo,iweje leo aseme vingine hawakuchuwa?Wana JF nawakilisha.
 
Kwa hili Tanesco kisarawe hatuwezi kulivumilia,kwani nimelipia kuunganishiwa umeme nyumbani kwangu majohe huu mwezi wa pili toka nimelipia,sihitaji nguzo kwangu,lakini mpaka leo hii ni siku 60 za kazi zimepita toka nimelipia.Kila ukienda unaambiwa vifaa bado hatujafuata mkoani.cha ajabu wiki iliyopita walisema vifaa vyote kwa waliolipia mwezi wa nne vimeletwa toka mkoani na wiki hii manager akatuhakikishia kuwa tufungiwa umeme.Cha ajabu kila ukipigia simu manager anasema utafungiwa subiri wiki bado hajaisha.leo nimempigia manager anasema kuna baadhi ya vifaa hawakupewa mkoani.ndio wanafuata leo.Sasa siku zote manager asema vifaa vipo,iweje leo aseme vingine hawakuchuwa?Wana JF nawakilisha.
Naibu Waziri Maselle jana aliomba mmpelekee majina ya mameneja ambao hawaunganishii watu umeme
 
Kwa hili Tanesco kisarawe hatuwezi kulivumilia,kwani nimelipia kuunganishiwa umeme nyumbani kwangu majohe huu mwezi wa pili toka nimelipia,sihitaji nguzo kwangu,lakini mpaka leo hii ni siku 60 za kazi zimepita toka nimelipia.Kila ukienda unaambiwa vifaa bado hatujafuata mkoani.cha ajabu wiki iliyopita walisema vifaa vyote kwa waliolipia mwezi wa nne vimeletwa toka mkoani na wiki hii manager akatuhakikishia kuwa tufungiwa umeme.Cha ajabu kila ukipigia simu manager anasema utafungiwa subiri wiki bado hajaisha.leo nimempigia manager anasema kuna baadhi ya vifaa hawakupewa mkoani.ndio wanafuata leo.Sasa siku zote manager asema vifaa vipo,iweje leo aseme vingine hawakuchuwa?Wana JF nawakilisha.
wewe unalalamika siku 60 tu wakati wenako huku imepita miezi 4 bila kuwekewa,kila ukipiga wanadai eti nguzo hakuna..
 
tunaomba namba yako ya simu tuwapatie wadau wakupigie
tulilipia tangu tarehe 22/02/2016 ila tumekuja kuwekewa UMEME jana tuuuu tarehe 22/06/2016 pande hizi za makapu MAJOHEE Hiiihiiiiii
 
tulilipia tangu tarehe 22/02/2016 ila tumekuja kuwekewa UMEME jana tuuuu tarehe 22/06/2016 pande hizi za makapu MAJOHEE Hiiihiiiiii
Hata ukilipia uakwekewa umeme bado kero zipo nyingi sisi hapa Viwege tangu umeme ukatike tarehe 28-11-2017 majira ya asubuhi kuna baadhi ya nyumba zinawaka umeme na baadhi umeme hauwaki kisa transfomer la karibu na Picnic Pub pale linaleta shida balaa
 
Back
Top Bottom