KakaKiiza
Platinum Member
- Feb 16, 2010
- 11,948
- 9,464
Muda huu Jengo la Studio za Clouds Media Group linaungua moto
More update
=======
UPDATES;
=> Sehemu ya jengo la kituo cha Chouds Media Group linaungua moto muda huu. Juhudi za kuuzima moto huo bado zinaendelea.
=> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana
=> Juhudi za kuuzima moto huo Katika kituo cha Matangazo cha Clouds zinaendelea, ambapo kilichoungua ni chumba cha kurushia matangazo.
==================
=> Tayari moto umeshadhibitiwa.
=> Sebastian Maganga, mkuu wa maaudhui na uzalishaji wa Cloud Media Group, amesema moto umetokea kati ya saa tatu asubuhi hadi saa nne , athari saizi ni vigumu kuzijua. Eneo ambalo limeungua ni chumba cha kurushia matangazo ya televisheni.
=> Hamna majeruhi wala vifo, na thamani ya uharibifu haijafahamika bado. Chanzo cha moto hadi sasa bado hakijafahamika.
=> Juhudi za uokoaji wa mali zinaendelea.
More update
=======
UPDATES;
=> Sehemu ya jengo la kituo cha Chouds Media Group linaungua moto muda huu. Juhudi za kuuzima moto huo bado zinaendelea.
=> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana
=> Juhudi za kuuzima moto huo Katika kituo cha Matangazo cha Clouds zinaendelea, ambapo kilichoungua ni chumba cha kurushia matangazo.
==================
=> Tayari moto umeshadhibitiwa.
=> Sebastian Maganga, mkuu wa maaudhui na uzalishaji wa Cloud Media Group, amesema moto umetokea kati ya saa tatu asubuhi hadi saa nne , athari saizi ni vigumu kuzijua. Eneo ambalo limeungua ni chumba cha kurushia matangazo ya televisheni.
=> Hamna majeruhi wala vifo, na thamani ya uharibifu haijafahamika bado. Chanzo cha moto hadi sasa bado hakijafahamika.
=> Juhudi za uokoaji wa mali zinaendelea.