Nyamisangura
Member
- Jan 4, 2018
- 87
- 109
Hakika kipengele cha kunyamvua na kujumlisha,wakiwa wanasoma magazeti Maulidi Kitenge a.k.a chumvi,Gerald Hando,Musa Kipanya na Irene Kilenga wanajua kuyasoma na kudadavua bila uwoga wowote ni tofauti na media nyingine ambazo husoma vichwa vya habari bila kudadavua kidogo.Kipindi cha joto LA asubuhi huwa hawaogopi kutuletea habari yeyote bila hofu