Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Tanzania tumenunua ndege, chadema na Tundu Lisu wakaamua kupigania Muzungu akamate Ndege yetu kwa sababu Muzungu anatudai, huyu ni Mtanzania kafanya hivyo, sababu ni kwamba anamchukia Raisi Magufuli yaani alitaka kumkomoa Raisi Magufuli halafu kuna watu wanamuita Tundu Lisu intelligent na wanataka awe Raisi wa TZ yetu!
Makampuni ya Migodi yameiba Rasilimali zetu, Serikali yetu inachukuwa hatua chadema, Tundu Lisu, Zito Kabwe & Co. wanakuwa upande wa Muzungu na kuanza kututisha ili tuache Muzungu aendelee kutuibia, kwanza wanapigana kuliko hata Muzungu mwenyewe, sabotage yote hii dhidi ya nchi yetu!
Tunapata matatizo chadema na Tundu Lisu wanakwenda kwa Muzungu kumuomba aingilie kwani yeye Muzungu ndo pekee anayeweza kutenda haki!
Fikiria hilo, yaani Mzungu, China, Mjapani au hata Mwarabu aende nchi ya kigeni kulobby na foreign governments dhidi ya nchi yake, chukuwa tu sekunde chache kulifikiria hilo, hlf labda utaelewa maneno kama ,,shithole” yanatokea wapi, ...
Makampuni ya Migodi yameiba Rasilimali zetu, Serikali yetu inachukuwa hatua chadema, Tundu Lisu, Zito Kabwe & Co. wanakuwa upande wa Muzungu na kuanza kututisha ili tuache Muzungu aendelee kutuibia, kwanza wanapigana kuliko hata Muzungu mwenyewe, sabotage yote hii dhidi ya nchi yetu!
Tunapata matatizo chadema na Tundu Lisu wanakwenda kwa Muzungu kumuomba aingilie kwani yeye Muzungu ndo pekee anayeweza kutenda haki!
Fikiria hilo, yaani Mzungu, China, Mjapani au hata Mwarabu aende nchi ya kigeni kulobby na foreign governments dhidi ya nchi yake, chukuwa tu sekunde chache kulifikiria hilo, hlf labda utaelewa maneno kama ,,shithole” yanatokea wapi, ...