TBA mmeonyesha mapungufu makubwa, mnajenga ila hamuwezi KUBOMOA?? Jengo la Tanesco ni kipimo.

barafuyamoto

JF-Expert Member
Jul 26, 2014
32,323
29,586
Habari zenu!

Kwa kweli TBA kama chombo kilichoaminiwa na rais kujenga baadhi ya majengo kufikia hatua ya kushindwa kubomoa ghorofa ni udhaifu mkubwa.

Mpaka sasa mmeshindwa sababu mnasuasua licha ya kwamba mko on site. Naongelea jengo la Tanesco Dar es salaam.

Tunakoelekea, mijengo ya zamani mirefu mingi itabomomewa, iliyegemewa nyie ndio mngeshika usukani ktk hili. Inavyoonyesha jengo la Tanesco linawatoa jasho.

Kupitia jengo hili, jifunzeni mbinu wanazotumia wenzenu wa nchi za nje jinsi ya kubomoa majengo kwa ufanisi na muda mfupi.

Kama unajenga basi uwe na uwezo wa kubomoa pia, ndani ya muda sahihi.
 
Habari zenu!
Kwa kweli TBA kama chombo kilichoaminiwa na rais kujenga baadhi ya majengo kufikia hatua ya kushindwa kubomoa ghorofa ni udhaifu mkubwa. Mpaka sasa mmeshindwa sababu mnasuasua licha ya kwamba mko on site. Naongelea jengo la Tanesco Dar es salaam.
Tunakoelekea, mijengo ya zamani mirefu mingi itabomomewa, iliyegemewa nyie ndio mngeshika usukani ktk hili. Inavyoonyesha jengo la Tanesco linawatoa jasho.
Kupitia jengo hili, jifunzeni mbinu wanazotumia wenzenu wa nchi za nje jinsi ya kubomoa majengo kwa ufanisi na muda mfupi.
Kama unajenga basi uwe na uwezo wa kubomoa pia, ndani ya muda sahihi.
Kama hayana expansion joint ulitarajia TBA wafanyeje?
 
Kwa kweli TBA kama chombo kilichoaminiwa na rais kujenga baadhi ya majengo kufikia hatua ya kushindwa kubomoa ghorofa ni udhaifu mkubwa. Mpaka sasa mmeshindwa sababu mnasuasua licha ya kwamba mko on site. Naongelea jengo la Tanesco Dar es salaam.


Wawapatie wasanii wa bongo movie waigizie cenema
 
Siwaniite mi nikalitege explosive, tunalishusha ndani ya siku2 tu, na bila kusababisha madhara.

Kinahitajika vibalitu vyakufunga hiyonjia for a little while.
 
Siwaniite mi nikalitege explosive, tunalishusha ndani ya siku2 tu, na bila kusababisha madhara.

Kinahitajika vibalitu vyakufunga hiyonjia for a little while.
Ukitumia explisive utashusha jengo zima wakati pale wanatakiwa wabomoe tower moja. Kumbuka lile ni jengo la twin towers lililonguanishwa na column ndogo ya ngazi...
 
Wenzao ulaya wanayalipua majengo kwastayli nzurituu na Mambo yanaenda shwari, labdakama lilejingine la nyuma linabaki hapondio inahitajika mbinu mbadala ilikuliacha moja salama.
 
Ukitumia explisive utashusha jengo zima wakati pale wanatakiwa wabomoe tower moja. Kumbuka lile ni jengo la twin towers lililonguanishwa na column ndogo ya ngazi...
Mwisho wa siku hii ni changamoto ya kuipokea. Nafikiri kama nchi ni mara ya kwanza kuwa na demolision ya jengo imara. Bila shaka watajifunza kwa ajili ya demolisions zingine.
 
Waliambiwa mwishoni mwa mwezi huu jengo liwe chini, na Waziri mwenye dhamana akawapa tena siku 10 huku akidai siku atakayorudi toka Dodoma akikuta jengo bado lipo litaondoka na mtu, naona bado siku 2 tu mwezi uishe ngoja tusubiri.
 
Wenzao ulaya wanayalipua majengo kwastayli nzurituu na Mambo yanaenda shwari, labdakama lilejingine la nyuma linabaki hapondio inahitajika mbinu mbadala ilikuliacha moja salama.
Nimeangalia demolision za mbele, kwa kweli nafikiri wenzetu hata wasingesababisha impact mbaya kwa ile twin tower. Ila mwanzo mgumu, watajifunza kitu. Changamoto mpya hii.
 
Mwisho wa siku hii ni changamoto ya kuipokea. Nafikiri kama nchi ni mara ya kwanza kuwa na demolision ya jengo imara. Bila shaka watajifunza kwa ajili ya demolisions zingine.
Makampuni ya kubomoa yapo mengi tu. Pale Posta kuna jengo la ghorofa 16 lilidondoka serikali ikaamua jengo lake 'pacha' nalo libomolewe. Mkandarasi alipewa miezi mitatu kumaliza kazi lakini alitumia miezi miwili tu.
Pia pale kwenye mataa ya Kariakoo kulipokuwa na round about zamani kuna jengo lilibomolewa hivi karibuni kupisha ujenzi wa ghorofa jipya...
So watu wenye ujuzi wa kubomoa fasta mbona wapo tu?
 
Back
Top Bottom