Kama Uliweza kuamini kua Mabehewa yalikosa mwenyewe pale bandarini lakini mwishowe yakanunuliwa kutoka kwa huyo Mwenyewe asiekuwepo basi amini tu na hili litaisha vizuri tu MkuuWakuu kwema?
Nakumbuka mukulu alitoa order kuwa kabla mwaka haujaisha waziri awe ameshafanya uchunguzi wake Leo tunaelekea katikati ya mwezi hakuna taarifa yoyote au ndo yaleyale ya same old story?
Hii ilikuwa kutafuta kiki kwa style ya makinikia hakuna lolote na hutasikia tena kinachoendelea! unachotakiwa ni kuulizia Noah yako ilipoWakuu kwema?
Nakumbuka mukulu alitoa order kuwa kabla mwaka haujaisha waziri awe ameshafanya uchunguzi wake Leo tunaelekea katikati ya mwezi hakuna taarifa yoyote au ndo yaleyale ya same old story?
asante you nailed itAliyekuwa anatafutwa,kashajipeleka Ikulu na amemsifia baba mwenye nyumba,kesi imekwisha...Ameshasalimu amri,kawaombea msamaha mkwe na rafiki yake Kitilya,sasa deal is closed
Wanaendelea na upe-mbuzi yakinifuWakuu kwema?
Nakumbuka mukulu alitoa order kuwa kabla mwaka haujaisha waziri awe ameshafanya uchunguzi wake Leo tunaelekea katikati ya mwezi hakuna taarifa yoyote au ndo yaleyale ya same old story?