PamiKa
Member
- Sep 11, 2016
- 17
- 21
Habari wadau
Niende moja kwa moja kwenye mada
Hii halmashauri watendaji wake ni wabovu sana katika ofisi ya mkurugenzi
Nilichokiona pale ni kujuana,undugu na rushwa vimetamalaki
Binafsi nimekua na suala linalohitaji kushughulikiwa ndani ya muda mfupi sasa imekua ni kupigwa tarehe kila siku kwa jambo ambalo lingeisha tangu siku ya kwanza.
Najua kuna viongozi wanaopitia huku tunaomba mtusaidie katika utatuzi wa shida zetu katika ofisi ile maana imekua kero sasa.
NB:Baada ya siku chache wasipojirekebisha nitakuja hapa na ushahidi wa maandishi na video na picha ili mamlaka husika zione tatizo lilivyo
Niende moja kwa moja kwenye mada
Hii halmashauri watendaji wake ni wabovu sana katika ofisi ya mkurugenzi
Nilichokiona pale ni kujuana,undugu na rushwa vimetamalaki
Binafsi nimekua na suala linalohitaji kushughulikiwa ndani ya muda mfupi sasa imekua ni kupigwa tarehe kila siku kwa jambo ambalo lingeisha tangu siku ya kwanza.
Najua kuna viongozi wanaopitia huku tunaomba mtusaidie katika utatuzi wa shida zetu katika ofisi ile maana imekua kero sasa.
NB:Baada ya siku chache wasipojirekebisha nitakuja hapa na ushahidi wa maandishi na video na picha ili mamlaka husika zione tatizo lilivyo