Ndugu wa Naseeb Mfinanga waanza kugombania mali ya mwekezaji baada ya mume wake kufariki kwa ajali ya ndege Ngorongoro

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Kuhusu umauti ulivyomkuta Mfinaga, Soma => Empakai, Arusha: Ndege ya Shirika la Coastal Aviation yaanguka. Watu 11 wafariki dunia

nasikia.jpg
 
Huwa sielewi kwanini ndugu huwa sharp na wakali sana katika mambo ya mirathi. Laiti nguvu inayotumika kugombania mirathi ikitumika katika kutafuta mali binafsi, Tanzania itapiga hatua kubwa kimaendeleo. Kugombania mirathi kwa nguvu zote ni uthibitisho wa uvivu na wivu wa wagombeaji kwa mali za wengine. This absurdity has to stop!
 
Inasikitisha sana...mtu unapigana ajili ya familia yako, ukiwa hai wanajifanya kuijali familia, ukishaondoka, ndipo wanabadilika na kuwa maadaui wa familia yako....nachotafta mimi ni kwa ajili ya watoto na mama yao..hakimuhusu ndugu kabisa
 
Huwa sielewi kwanini ndugu huwa sharp na wakali sana katika mambo ya mirathi. Laiti nguvu inayotumika kugombania mirathi ikitumika katika kutafuta mali binafsi, Tanzania itapiga hatua kubwa kimaendeleo. Kugombania mirathi kwa nguvu zote ni uthibitisho wa uvivu na wivu wa wagombeaji kwa mali za wengine. This absurdity has to stop!
hii kitu itatia mashaka sana kwa wawekezaji wa Nje kuja Tanzania kuwekeza... Kama mwanasheria kuna chochote unaweza kusaidi hapa?
 
Inasikitisha sana. Wanaohusika waingilie kati. Hata Kitanzania mjane akiwa na watoto basi mali ya urithi ipo salama. Hawa wanaleta aibu isiyopaswa kuwepo. Ukoo husika unapaswa kuingilia kati.
 
hii kitu itatia mashaka sana kwa wawekezaji wa Nje kuja Tanzania kuwekeza... Kama mwanasheria kuna chochote unaweza kusaidi hapa?
Cha kusaidia ni kupambana na hao walafi wa mali za marehemu ili mali ziwafaidishe mke na watoto. Ni kuwahi kufungua shauri la mirathi kwa ajili ya kuteuliwa Msimamizi wa Mirathi ili akusanye na kusimamia mali za marehemu.
 
Huwa sielewi kwanini ndugu huwa sharp na wakali sana katika mambo ya mirathi. Laiti nguvu inayotumika kugombania mirathi ikitumika katika kutafuta mali binafsi, Tanzania itapiga hatua kubwa kimaendeleo. Kugombania mirathi kwa nguvu zote ni uthibitisho wa uvivu na wivu wa wagombeaji kwa mali za wengine. This absurdity has to stop!
Tunapaswa kujenga utaratibu wa kuandika wosia, tatizo wengi tu a imani za kipuuzi na kuchukulia wosia kama mkosi.
 
Huwa sielewi kwanini ndugu huwa sharp na wakali sana katika mambo ya mirathi. Laiti nguvu inayotumika kugombania mirathi ikitumika katika kutafuta mali binafsi, Tanzania itapiga hatua kubwa kimaendeleo. Kugombania mirathi kwa nguvu zote ni uthibitisho wa uvivu na wivu wa wagombeaji kwa mali za wengine. This absurdity has to stop!

for sure mkuu!you have said it all.it's also stupidity of its kind i think.
 
Huwa sielewi kwanini ndugu huwa sharp na wakali sana katika mambo ya mirathi. Laiti nguvu inayotumika kugombania mirathi ikitumika katika kutafuta mali binafsi, Tanzania itapiga hatua kubwa kimaendeleo. Kugombania mirathi kwa nguvu zote ni uthibitisho wa uvivu na wivu wa wagombeaji kwa mali za wengine. This absurdity has to stop!
Mpaka wanaudhi, uvivu wa kutafuta tu wakiwa hai...Sheria ikifuata mkondo wake ndugu hawapati chochote pale...
 
Tunapaswa kujenga utaratibu wa kuandika wosia, tatizo wengi tu a imani za kipuuzi na kuchukulia wosia kama mkosi.

Hayo ya wosia hadi utekelezwe acha tu.. ukisikia wanayopitia ya ndugu wenye tamaa ni hatari kwa kuvamia ya ndugu.. utafikiri wao ndio wamesimamisha biashara na mali za marehemu.

Na huyu Mama ni mzungu basi.. kazi.. na hapo ni wanaharibu biashara tayari.. inasikitisha huku ana watoto wa kuwalea.
 
Back
Top Bottom