Asanteni mlionishauri ushauri wenu umezaa matunda

Asanteni mlionishauri ushauri wenu umezaa matunda

Nejad Rocket

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
298
Reaction score
197
Habari zenu Jf niliomba ushauri kuhusu kuomba kuruhusiwa na mke wangu ninywe Kwa Uhuru.

Nilimuomba Jana usiku Kwa unyenyekevu kabisa huku nikimwambia nilishauriwa na daktari kabla sijamuoa Bali nilimficha kuhofia kumkosa.

Alisita lakini akakubali nikamwambia kama haamini amuulize ba mdogo ambae ni mla bia pia nishampanga.Kasema nisinywe sana baada ya miezi sita nilioshauriwa na dokta ikiisha niache.Hivi ninavyoandika nalamba chupa ya Tusker kiulaini[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Habari zenu Jf niliomba ushauri kuhusu kuomba kuruhusiwa na mke wangu ninywe Kwa Uhuru.

Nilimuomba Jana usiku Kwa unyenyekevu kabisa huku nikimwambia nilishauriwa na daktari kabla sijamuoa Bali nilimficha kuhofia kumkosa.

Alisita lakini akakubali nikamwambia kama haamini amuulize ba mdogo ambae ni mla bia pia nishampanga.Kasema nisinywe sana baada ya miezi sita nilioshauriwa na dokta ikiisha niache.Hivi ninavyoandika nalamba chupa ya Tusker kiulaini[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
kile ulichozuwiliwa hskiwezi kuwa salama kwako, kunywa tu ila utaona!
 
Back
Top Bottom