Nielekeze na mm nikaokote jamaniHata Mimi ninayo mengi hayo kuna sehemu huwa nayaokota Mara kwa mara
Huwa yanakuwa mengi kipindi cha mvua nyingiNielekeze na mm nikaokote jamani
Upo wapi mkuu tuelekezanemsaada tafadhali
ninaweza kujua aina hii ya madini
Hayo Mawe hayana thamani yakiwa vipande vidogo hivyo ukienda Mererani yapo kila sehemu yametapakaa. Kazi yake kubwa ni kuchongea sanamu na lazima yawe makubwa sana yanaujinga wa kumomonyoka so ni mawe yasiyo na thamani japo kwa macho huwa yanapendeza sana kama gold vile au Shaba safi. Usiumize kichwa chako
Hahahah hujamwelewa mdau. Magustone means MAGUFULI STONE.magustone-yanatumika kutengenezea nini boss?!
yatunze yanaweza kuwa dili siku za usonimsaada tafadhali
ninaweza kujua aina hii ya madini
Wawekee wanao Urithi wa kesho, umeshaa uaga Umasikini..!Asante mkuu lakini haya naona hayamomonyoki sana
Asikuongopee mtu kuwa na uhakika wa asilimia Mia kuwa jiwe hili ni Aina gani labda kwa mzoefu wa muda mrefu sana wa Mawe na inapokuja hitajio la kuripoti kama taaluma ya Mawe inavotaka,
Hata uwe wa miaka Mia ya mzoefu shurti uliingize jiwe husika Maabara,
Haijalishi unalijua ama la.
Sayansi ndio itakayokupa uhakika.
Maabara kwenyewe nako hakiangaliwi kituo kimoja.
Sasa kinafanyika kitu gani na kitu gani,
Hapa si mahala Pake.
Kuhusu hilo jiwe lako,
Sijinadi,ila ninao ufahamu kiasi juu ya Mawe.
Tunaweza kufanya guessing kupitia picha lakini picha nzuri ambazo zimepigwa kwenye chanzo KIZURI cha mwanga.
Picha zako hazioneshi vizuri rangi inayolitawala jiwe.
Jaribu kupiga picha vizuri ukibadilibadili pembe za chanzo chako cha mwanga ikiwezekana piga hata video kisha nirushie kupitia WhatsApp no:+255-714-59-15-48.