Apandacho mtu ndo avunacho
Ukipanda karanga utavuna karanga
Ukipanda uchafu utavuna magonjwa
Ukipanda juhudi utavuna mafanikio
Kwa upande wangu kanuni hii ndo huwa naiona inauhalisia...
Zamani nlisikiaga ukikanyaga mdudu unapotea sasa najiuliza hawa na wengine wamekanyaga MDUDU gani??
Nadhani litakua bonge la DUDU mpaka hawarudi makwao daima??
Mdudu yu wapi jamani??
Katika mambo ambayo yalimletea Nyerere sifa kubwa duniani ni msimamo wake wa kutoogopa mataifa makubwa ya nje.
Hakujali kwamba msimamo wake ungetupotezea manufaa na misaada, lakini alitaka tu...
Watu watatu wanaodhaniwa kuwa majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na jeshi la polisi mkoani Songwe baada ya kutiliwa shaka kutaka kutenda uhalifu eneo la Mpemba mjini Tunduma katika...
Kijana Kumbusho Dawson Kagine Amekamatwa kwa kosa la kutuma PICHA za hosteli za Magufuli za UDSM. Yupo kituo cha Polisi UDSM na anapelekwa Central!
UPDATE
Baada ya Kijana Kumbusho Dawson Kagine...
Wazee wa mila wakisema hayo katika sherehe zao za jadi Vijana wasiofanya kazi,Walevi,wagomvi watakutana na adhabu ya viboko 70 na alienda mbali zaidi na kusema kama kijana hana afya nzuri...
Hili nitukio la kusikitisha sana! Hivyo nilitegemea solidarity in Media House's na TEF,MCT And etc muungane kupaza sauti! Siyo kupaza sauti katika mambo ya siasa tu!Leo Mwananchi wametoa katika...
Wadau habari za leo
Ningependa tujadiliane kuhusu hoteli nzuri za kwenda mapumzikoni zenye gharama ya kawaida haswa zilizoko ufukweni kuanzia Dar, Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga na kama kuna...
Mkuu zamani wa Kikosi cha Polisi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Mkoa wa Tabora, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Bhoke Bruno na wenzake saba wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kuiba bunduki...
Watu wasiojulikana;
1. Walimteka Roma
2. Walimpiga risasi Tundu Lissu
3. Walilipua ofisi za wakili Fatma Karume
4. Walilipua ofisi za wakili wa Manji
5.Wanatupa miili ndani ya viroba Coco...
Kwa miaka mingi sasa Tanzania imekuwa ikijipambanua kimataifa kama nchi yenye vivutio vingi vya utalii na tamaduni mbalimbali. Hatua hii imesaidia kukuza utalii na hata kujenga uchumi imara na...
Nimeona jana maeneo ya Mbezi Temboni magreda yakitengeneza service roads mwisho mwa eneo lao la road reserve kama sehemu ya kuwazuia watu kung'ang'ania ndani ya road reserve baada ya bomoa bomoa...
by Malunde 14 hrs ago
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu yaDar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema kesi ya Dk Louis Shika hawataendelea nayo kwa kuwa nyumba tatu za mfanyabiashara maarufu Said...
Kamanda Mambosasa aeleza jambazi komando kutoka Burundi wa wenzie 2 walivyouawa na polisi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limewauwa majambazi watatu akiwemo raia wa Burundi...
Nilikuwa natafakari kuhusu biashara ya uuzaji wa binadamu ambayo inalalamikiwa na kulaaniwa vikali nikajiuliza hivi malaya wakijiuza sio biashara ya binadamu, kama jibu ni yes huku kwetu hakuna...
Habari za asubuhi wana JF?
Katika maisha yetu ya kila siku tumezungukwa na watu wengi wa aina nyingi, ambao kwa namna moja au nyingine hutoa mchango hasi au mchango chanya katika maisha yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.