Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Apandacho mtu ndo avunacho Ukipanda karanga utavuna karanga Ukipanda uchafu utavuna magonjwa Ukipanda juhudi utavuna mafanikio Kwa upande wangu kanuni hii ndo huwa naiona inauhalisia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Zamani nlisikiaga ukikanyaga mdudu unapotea sasa najiuliza hawa na wengine wamekanyaga MDUDU gani?? Nadhani litakua bonge la DUDU mpaka hawarudi makwao daima?? Mdudu yu wapi jamani??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika mambo ambayo yalimletea Nyerere sifa kubwa duniani ni msimamo wake wa kutoogopa mataifa makubwa ya nje. Hakujali kwamba msimamo wake ungetupotezea manufaa na misaada, lakini alitaka tu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Watu watatu wanaodhaniwa kuwa majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na jeshi la polisi mkoani Songwe baada ya kutiliwa shaka kutaka kutenda uhalifu eneo la Mpemba mjini Tunduma katika...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Kijana Kumbusho Dawson Kagine Amekamatwa kwa kosa la kutuma PICHA za hosteli za Magufuli za UDSM. Yupo kituo cha Polisi UDSM na anapelekwa Central! UPDATE Baada ya Kijana Kumbusho Dawson Kagine...
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Kwa wafanyabiashara na hata wananchi wa kawaida, fahamu kodi na ushuru mbalimbali kwa mujibu wa TRA kwa mwaka 2017/18.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wazee wa mila wakisema hayo katika sherehe zao za jadi Vijana wasiofanya kazi,Walevi,wagomvi watakutana na adhabu ya viboko 70 na alienda mbali zaidi na kusema kama kijana hana afya nzuri...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Hili nitukio la kusikitisha sana! Hivyo nilitegemea solidarity in Media House's na TEF,MCT And etc muungane kupaza sauti! Siyo kupaza sauti katika mambo ya siasa tu!Leo Mwananchi wametoa katika...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Wadau habari za leo Ningependa tujadiliane kuhusu hoteli nzuri za kwenda mapumzikoni zenye gharama ya kawaida haswa zilizoko ufukweni kuanzia Dar, Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga na kama kuna...
1 Reactions
30 Replies
10K Views
Mkuu zamani wa Kikosi cha Polisi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Mkoa wa Tabora, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Bhoke Bruno na wenzake saba wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kuiba bunduki...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Watu wasiojulikana; 1. Walimteka Roma 2. Walimpiga risasi Tundu Lissu 3. Walilipua ofisi za wakili Fatma Karume 4. Walilipua ofisi za wakili wa Manji 5.Wanatupa miili ndani ya viroba Coco...
1 Reactions
3 Replies
708 Views
Kwa miaka mingi sasa Tanzania imekuwa ikijipambanua kimataifa kama nchi yenye vivutio vingi vya utalii na tamaduni mbalimbali. Hatua hii imesaidia kukuza utalii na hata kujenga uchumi imara na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeona jana maeneo ya Mbezi Temboni magreda yakitengeneza service roads mwisho mwa eneo lao la road reserve kama sehemu ya kuwazuia watu kung'ang'ania ndani ya road reserve baada ya bomoa bomoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
by Malunde 14 hrs ago Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu yaDar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema kesi ya Dk Louis Shika hawataendelea nayo kwa kuwa nyumba tatu za mfanyabiashara maarufu Said...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kamanda Mambosasa aeleza jambazi komando kutoka Burundi wa wenzie 2 walivyouawa na polisi Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limewauwa majambazi watatu akiwemo raia wa Burundi...
1 Reactions
83 Replies
9K Views
Nilikuwa natafakari kuhusu biashara ya uuzaji wa binadamu ambayo inalalamikiwa na kulaaniwa vikali nikajiuliza hivi malaya wakijiuza sio biashara ya binadamu, kama jibu ni yes huku kwetu hakuna...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekuwa mwana takriban miaka Tisa. Lakini Kwa sasa naona kinachoendelea, sio. Je, nijiunge Na chama gani? Msaada pls. Usingizi sipati.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana Jf kama kichwa kinavyosema nina hitaji raini ya safarcom nikiwa Tanzania mkoani Mwanza. Tafadhari mwenye uelewa juu ya jambo hili
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana JF? Katika maisha yetu ya kila siku tumezungukwa na watu wengi wa aina nyingi, ambao kwa namna moja au nyingine hutoa mchango hasi au mchango chanya katika maisha yetu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom