Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Duniani kuna mengi hasa maswala yahusuyo hela!.Watu hufurukuta katika kila idara mpk kuroga. Pindi uendapo kwa mganga unakutana na masharti kemkemi!Mara usifanye hivi.Mara fanya vile. Shida tu.
Wewe ambaye umewahi kwenda kwa mganga alikupa masharti gani?
Mm niliwahi kwenda akataka nimtoe kafara mtoto.Nilimaindi sana nikamtukana nikasepa.
Wewe ambaye umewahi kwenda kwa mganga alikupa masharti gani?
Mm niliwahi kwenda akataka nimtoe kafara mtoto.Nilimaindi sana nikamtukana nikasepa.