Omary Mkundi Member Aug 30, 2022 15 8 Feb 11, 2018 #1 Mabinti wanaopewa uja uzito wakiwa masomoni wapewe adhabu japo ya miezi minne jela nafikiri watashika adabu.kuliko kuwafunga wanaume tuu nadhani ndalichako utalifanyia kazi hili.povu ruksa
Mabinti wanaopewa uja uzito wakiwa masomoni wapewe adhabu japo ya miezi minne jela nafikiri watashika adabu.kuliko kuwafunga wanaume tuu nadhani ndalichako utalifanyia kazi hili.povu ruksa