baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,456
- 2,181
Kuna ndugu yangu alikua na kesi inayodhaminíka na dhamana ilikua wazi ila kutokana na process ya kupata barua tulichelewa kama dk 10 hivi akawa kashapanda gari anaelekea segerea jee tunaweza endelea na taratibu za dhamana akatoka maana kesi itakuwa baada ya week mbili ndo wanaisikiliza tena.naomba msaada wa haraka kwa wanaojua hili