Naweza kubadilika na kuwa ninavyotaka?

Naweza kubadilika na kuwa ninavyotaka?

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
6,174
Reaction score
6,338
Habari wakuu?
Hivi kweli mtu unaweza kubadilika, ama kujifunza kuwa na courage and confident?

Nimejaribu, kusoma vitabu vingi vya inspiration pamoja na motivations kibao na kuzielewa. Lakini linapokuja suala ya kutake risk ama kuwa vile, natamani kuwa yani kuact confidently na kutokuwa shyness mbele ya watu nashindwa.

Mfano napokuwa darasani, huwa natamani sana kuuliza ama kujibu lecturer akiuliza kitu chochote lakini nafsi inagoma ivo nakaa kimya tu, baadae naanza kujilaumu mi mwenyewe kutokana na hofu yangu.

Yani shida yangu mimi nashindwa kuact bodly na kuongea kwa sauti, ama kujiexpress mimi mwenyewe? Nifanyeje ili niweze kuwa vile nataka?? Nafahamu sana, wanasema
"act as you wish you were, and you will become as you act so you will become who you want to be"
 
Vile unafikiria ndo jinsi ulivyo....Siku wewe jaribu kuuliza swali na tumaini ni hapo ambapo utaanza kujiamini
 
Kujibebesha uzungu wakati wewe ni mwafrica shida sana
 
Kujibebesha uzungu wakati wewe ni mwafrica shida sana
WE nawe akili zako sujui zikoje upupu gani umeandika hapa!!!


Ni hivi mkuu siku utakayouliza ama kujibu swali ndio hiyo utakapoanza kuona mabadiliko from shynes to confident
 
Mkuu anza hata mazoezi ya kusimama mbele ya kundi kubwa la wanafunzi wenzako na kuongea, jifunze kuuliza kidogo kidogo mwisho utakuwa jasiri, we tatizo tangu uko primary hukuwa hata kuwania uongozi na inaoneka ulikuwa hupendi mijadala kabisa.
 
Mkuu fanya kama upo peke yako darasani hii inatokana kwa njia mbili.
1 Malezi ya nyumbani wazee hawajakupa uhuru wa kujieleza mbele yao ndio maana inakuathiri mpaka ukubwani.
2 Hutokea kama kuna mdada unamtaka darasani na hutaki kukosea swali lililoulizwa.

Jiamini tu mkuu ukiendelea kuwa hivyo unaweza kupoteza bahati au kazi kwenye maisha yako.
 
Mkuu anza hata mazoezi ya kusimama mbele ya kundi kubwa la wanafunzi wenzako na kuongea, jifunze kuuliza kidogo kidogo mwisho utakuwa jasiri, we tatizo tangu uko primary hukuwa hata kuwania uongozi na inaoneka ulikuwa hupendi mijadala kabisa.
Kweli kabisa mkuu' watu wa namna hiyo ndio hao baadae wakiwa viongozi hawataki hâta kukosolewa.
 
Kwa mfumo wa Elimu TZ ulivyo ni ngumu mwanafunzi kuwa na confindence darasani,kwani wengi hawapendi kuulizwa au majibizano wkt wa kipindi.Ukijkfanya kimbelembele aaafu akakukalili wafwaaaa!!
 
Habari wakuu?
Hivi kweli mtu unaweza kubadilika, ama kujifunza kuwa na courage and confident? Nimejaribu, kusoma vitabu vingi vya inspiration pamoja na motivations kibao na kuzielewa. Lakini linapokuja suala ya kutake risk ama kuwa vile, natamani kuwa yani kuact confidently na kutokuwa shyness mbele ya watu nashindwa.
Mfano napokuwa darasani, huwa natamani sana kuuliza ama kujibu lecturer akiuliza kitu chochote lakini nafsi inagoma ivo nakaa kimya tu, baadae naanza kujilaumu mi mwenyewe kutokana na hofu yangu.
Yani shida yangu mimi nashindwa kuact bodly na kuongea kwa sauti, ama kujiexpress mimi mwenyewe? Nifanyeje ili niweze kuwa vile nataka?? Nafahamu sana, wanasema
"act as you wish you were, and you will become as you act so you will become who you want to be"
ongea mule mule ukiwa unaogopa utakapoendelea woga unaenda ukiisha pia jifunze namna ya kuongea mbele za watu ongea na vitu chumban kwako kama unaongea na watu
 
Xaxa presentations unafanyagaje
Hiyo rahisi sana, mkuu kwani huwa inatokea mpo wengi na kila mtu anapresent portion ndogo. Pia kuongea kwa condition ya lazima naweza but kuwa willing mwenyewe ndo ishu.
 
kaa kijiweni/ kaa na wenzako anza kuwabishia hata kama wasemalo ni kweli

vuta bhangi kabla ujaingia kwenye pindi
 
Back
Top Bottom