Nikiwa katika jukumu la kusikiliza kero za wananchi eneo langu ametokea mwananchi moja kulalamika kuwa ana zaidi ya miezi sita tangu amepeleka maombi ya leseni ya kusambaza kokoto( Dealers Licence) kwenye ofisi ya kanda ya madini na akalipia tsh laki nne (400,000/) kama application fees lakini mpaka leo hajapata leseni.
Akiulizia anaambiwa mtu wa ku-sign leseni hajateuliwa. Naweza kuelewa kwamba leseni za uchimbaji madini huenda zinahitaji kamati kujadili kutokana na uzito na unyeti wake. Lakini hata kusambaza komoto kunahitaji kamati? Si sawa!
Akiulizia anaambiwa mtu wa ku-sign leseni hajateuliwa. Naweza kuelewa kwamba leseni za uchimbaji madini huenda zinahitaji kamati kujadili kutokana na uzito na unyeti wake. Lakini hata kusambaza komoto kunahitaji kamati? Si sawa!