mheshimiwa waziri wa elimu kwanza hongera kwa kazi unayofanya ili kuboresha elimu yetu ila kwa kifupi sana kungoja nikwambie kinachoenda kufanyika kwenye mtihani huu ambacho kimsingi kimekuwa...
Taifa la Tanzania limefutilia mbali usajili wa meli kadhaa za Korea Kaskazini kwa kupeperusha bendera za taifa hilo kinyume na sheria.
Waziri wa maswala ya kigeni wa Tanzania Augustine Mahiga...
Wanafunzi wa form IV wamebakiza wiki moja waanze mitihani yao ya kumaliza elimu ya Ordinary level
Tulishuhudia Nigeria wakizima mitandao ya kijamii kuzuia udanganyifu wa mitihani wanafunzi...
Hospitali hiyo haina kifaa cha kupima mkojo,upande wa Nyamagana ni hospitali kubwa,inayohudumia wananchi wengi ,maskini ni wa hali ya kati,cha kushangaza inakosa kipimo hicho muhimu,viongozi wako...
Malalamiko kwa bodi hii yamekuwa ni mengi. Ushauri kwa bodi:
1. Shirikisheni viongozi wa wanafunzi ktk mijadala yenu ya mikopo. Rais alisema huu ni mkopo na si vinginevyo hivyo wanafunzi...
Muheshimiwa Jaji mkuu; Kwa heshima na taadhima naomba umsaidie huyu mama ambaye amedhulumiwa na anaendelea kudhulumiwa na vyombo vinavyofanya kazi chini yako.
Nimeamua nikuandikie kwa vile nina...
Leo katika taarifa ya habari ya ITV nimestushwa kushuhudia kwa kiwango cha kutisha namna wafugaji walivyovamia mashamba ya wakulima ya mahindi na migomba na kuyasambaratisha yote! Kwa kweli mimi...
Baada ya tukio la mkurugenzi na trafik kuchukua sura mpya ikipelekea mkurugenzi kupandishwa kizimbani na hatimaye kutumbuliwa, najua wengi wenu mmekuwa na uoga mkitamani hata magari yenu myafukie...
Habari wanabodi,
Baada ya hivi karibuni mifuko ya hifadhi za jamii kuripotiwa humu jukwaani hasa juu ya fao la kujitoa au kuacha kazi,
Leo nimeona si vibaya nikatize nssf pale ilala nikapate...
Itakumbukwa vyema wakati wa kampeni za uchsguzi 2015, ilani ya CCM ilikuwa na agenda kuwa kila kijiji kitapatiwa mil50 kwa ajili ya shughuli za kimaendeleo, lakini hali hivi sasa imekuwa tofauti...
Unanunua bidhaa ukiangalia maandishi mengine yanavutia kweli lakini sasa kwenye expiring date duh[emoji85] kichekesho, inafinyangwa finyangwa ili usione vizuri. Acheni ubabaishaji mtatulisha sumu!!
Sitawasalimu wanajamvi kwa siku ya leo maana sipo katika mood kabisa........
Najaribu kutafakari kwa sauti tu hapa........hivi ni nini kinaendelea serikalini......kwa maana naona huu mtindo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.