Kwanza, kabla sijaendelea embu tuwekane sawa kuhus hii falsafa ya “kufanikiwa kimaisha”, ina maana gani haswa? Ukweli ni kwamba watu wengi wakisikia fulani amefanikiwa kimaisha, basi moja kwa moja...
Kiukwel ule utafit uliosema kati ya Watanzania wa 4 mmoja ni Kichaa. Umeleta hali ya kutokuaminiana katika Jamii. Na kusababisha hali ya sintofaham.
Imefikia hatua sasa hata viongoz wetu...
Hivi wandugu hii miujiza ipo kweli?
Ebu kama kuna yeyote humu aliyewahi kupata muujiza wa hapo kwa papo toka kwa watumishi hawa aje atusimulie na aje na mfano halisia na kwa picha,
kama...
Ndege mpya za ATCL zishaanza kufanya route zake? Kama tayari waliozipanda watugawie experience ipoje?
Je huduma zao zikoje, ili tukisafiri tuwe na maamuzi tusije kuingia chaka.
Mahakama ya Ilala imefuta mashtaka ya unyanganyi wa kutumia silaha ya mshtakiwa Salehe maarufu kama Scorpion baada ya upande wa mashtaka kuombe liondolewa kwa sababu hawana nia ya kuendelea na...
Hello waungwana wa humu ndani,
Baada ya salaams,
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Kuna usemi unasemwa "Malipo ni hapa hapa duniani" yaani mtu ukimkosea mwenzako na akamuachia Mungu basi yule...
Mpaka sasa ni siku ya 46 bado serikali Mkoani Kagera inafanya tathmini ya tetemeko la ardhi.
Sijui itachukua muda gani mpaka ili zoezi liishe,
Michango bado inachangwa lakini hatujui inawafikiaje...
Wewe ni nani?
Ni swali ambalo ukiulizwa unaweza kuliona rahisi sana na kulijibu haraka haraka kwa kutoa jibu linalotaja jina lako. Mimi ni James, ama nimi ni Janeth. Lakini ni ukweli ulio wazi...
Ndugu zangu wasomaji ni ukweli usiopingika kuwa hadithi zinakuwa na malengo ya kuonya, kufundisha na kuburudisha. Wazee wetu walitunga hadithi hizi ili ziweze kusaidia vizazi vilivyopo na vijavyo...
Kwa mfano wiki ijayo labda akija hapa nchini Rais wa Urusi Vladmir Putin kwa ' ziara ' yake ya Kikazi hapa nchini ni nani anakuwa anaangalia ' Usalama ' wake pindi akitua tu, akiwa nchini na hadi...
Jeshi la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kuikamata gari aina ya Toyota Harrier iliyoibiwa DSM.
Jeshi la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kuikamata gari aina ya Toyota Harrier ilioibwa jana...
Karibuni............
kuna mdau mmoja aliniambia akipata pesa atatatua shida zake zote
sasa turejee swali....
ukijibu useme kwa nini kimmalize mwenzake?
Ndugu wanajamvi mtakumbuka Mara baada tetemeko kutokea serikali ilikimbia mbio kwenda kuandaa mazishi ya waliokufa ktk tetemeko hilo kitaifa.
Watu wengi tukategemea kinachofuata ni serikali...
Magazeti mengine yanafuata sera za kisiasa kadiri ya chama wanachoshikamana nacho. mengine yanatumiwa na watu wenye nguvu au serikali. yapo mengine ni ya kidini na humu uzini cjayahusisha kabisa...
Mgombea ubunge Jimbo la Mbarali haroon-mulla
MTOTO wa Mbunge wa Mbarali, Haroon Mulla (CCM), ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo pamoja na nyama ya pori kinyume cha sheria...
Wapendwa,
Mwaka jana liliibuka suala la bei ya sukari kwamba ilikua ni kubwa mno, maagizo yalitolewa kwamba ishuke adi 1800 per kg, chakushangaza baada ya tamko sukari ikapanda bei tukaambiwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.