Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Vyote ni katika kujenga career yenye turn over ya 2M -5M per month kwa mtaji wa million 10. 1.auto electrical repair Kuwa na ujuzi wa umeme wa magari, then kuuza spare au accessories za magari...
0 Reactions
4 Replies
150 Views
Graduate mlioenda VETA mnaendeleaje? Tarehe 7 Agosti 2025, Waziri Mkuu wa wakati huo, Kassim Majaliwa, aliwataka wazazi na walezi kuhakikisha vijana wanapelekwa kwenye mafunzo ya ufundi stadi...
13 Reactions
74 Replies
861 Views
Sitaki kuwachosha, hebu twende kwenye mada moja kwa moja. Nabii na mtume mkuu wa kanisa la WRC amewaambia wafuasi wake na jamii kwamba kufunga ndoa kanisani ni upagani. Mtume huyo, ambaye ni...
1 Reactions
34 Replies
614 Views
Usisite kumtamkia matamshi mema mtoto wako ili akape kufunikwa na damu ya Yessu, na roho mtakatifu ili aweze kufanya mtihani wake vyema na kuibuka kidedea. Wale mliiopeleka watoto st kayumbani...
1 Reactions
3 Replies
26 Views
Wakuu, Tunaposema kuwa Wachina ni existential threat kwa jamii yetu ya kitanzania huwa tunamaanisha Hapa ni GUangdong Hotel, Dar Es Salaam, huyu jamaa kasimamishwa getini anakatazwa kuingia...
18 Reactions
148 Replies
7K Views
TAARIFA KWA UMMA DEREVA ALIYEKUWA ANAENDESHA GARI HUKU AKICHATI, KUTOA LUGHA CHAFU ATIWA MBARONI Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia, Sabatho Malima Emmanuel, mwenye umri wa miaka 32 na...
1 Reactions
9 Replies
169 Views
Huyu kaka amezungumza ukweli mtupu, tunajiachia sana siku hizi na hapo ndio tunaboronga tunakua manungaiyembe. Tujitunze kuzuia kunenepeana japo maisha yamebadilika teknolojia imerahisisha maisha...
1 Reactions
0 Replies
46 Views
Wakongwe wenzangu naombeni mwenye vitabu hivi soft copy anitumie dm au kama ni hard copy basi mnijuze vinapopatikana. Ukisoma hivi vitabu unapanua uelewa kama Lissu , Mshana JR, Khalifa na...
5 Reactions
14 Replies
185 Views
Ndugu zangu, Leo tuseme wazi. Kuna watu wengine sio binadamu wa kawaida. Ni Kaini. Kaini hakumpiga Abeli kwa sababu Abeli alikuwa mbaya. Alimpiga kwa sababu sadaka yake ilikubaliwa. Mafanikio...
5 Reactions
6 Replies
74 Views
Nina ndugu yangu wa damu humu JF, mama na baba mmoja. Amekata mawasiliano na ndugu wote toka mwaka 2022. Kila namba yake ikipigwa haipatikani toka kipindi hicho. Binafsi kama kaka yake mara ya...
5 Reactions
22 Replies
451 Views
Haya majanga sasa yapo hata kwa watu wasafi tena wakishua ni vigumu kukwepa hadi kufikia miaka 45 yaani hata U.T.I itakuonja tu kwasababu ya ngono (MSHUKURU MUNGU KAMA HUJAWAI PATWA NA GONJWA LA...
5 Reactions
22 Replies
170 Views
When you make bad choices and you get bad results. This is not because of Satan or any secret society. This is your own ignorance, stupidity, negligence and carelessness in decision making. The...
21 Reactions
61 Replies
785 Views
Habari za ijumaa! Leo sina mambo mengi. Ukishakuwa mperuzi wa JF mara kwa mara. Kwa zaidi ya mwaka mmoja. Ukamezeshwa Doctrines humu ndani. Kuna uwezekano mkubwa ukawa moja ya mwanachama bobevu...
18 Reactions
56 Replies
459 Views
Naona matangazo ya vitu vizito vikiuzwa umu jf tena kwa pesa nzito..au mimi ndio sina mihela umu JF?
4 Reactions
16 Replies
188 Views
▪︎ Atoa rai kwa Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya mafuriko ▪︎ Aagiza ndani ya Septemba kutangazwa zabuni ya ujenzi wa barabara km 11 za Igauri–Ilongero WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba...
0 Reactions
4 Replies
37 Views
Mwanafunzi wa UDSM , semister imeisha akaamua kubaki Dar kutoa ushamba na kufanya Filed kiwanda cha kusafisha maji taka Tabata Dampo. Pichani ni jioni baada ya taarifa ya Habari , Shem na Mumewe...
7 Reactions
44 Replies
698 Views
Makamu wa Rais mteule ambaye anatarajiwa kuapishwa Leo aliyechukua nafasi ya Emmanuel Nchimbi aliyejiuzulu Mungu ameonionyesha kuwa kabla ya 2030 atakuwa Rais kamili Watu wa mtandao hawalali...
23 Reactions
66 Replies
2K Views
kufichua hazina zilizofichwa na wanadamu au roho, na kuzifanya ziletwe kwa anayeomba. Kabla ya mwito wowote, chora duara ardhini na usimame katikati useme 👇 Ninawaapisha, enyi pepo mnaokaa...
6 Reactions
17 Replies
236 Views
Habari wakuu, Kuna windfall nilipata sehemu fulani, nikapiga mshindo wa 75m. Nimeamua kujilipua na kununua hisa za NMB za 70m kwa bei mpya ya leo baada ya split ambayo NMB walifanya, nimenunua...
14 Reactions
92 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…