Ukarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia zaidi ya asilimia 67.
: 𝐌𝐑𝐀𝐃𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐊𝐀𝐊𝐀𝐓𝐈 𝐔𝐍𝐀𝐎𝐅𝐔𝐍𝐆𝐔𝐀 𝐋𝐀𝐍𝐆𝐎 𝐉𝐈𝐏𝐘𝐀 𝐋𝐀 𝐁𝐈𝐀𝐒𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐍𝐀 𝐔𝐓𝐀𝐋𝐈𝐈
Huu ni miongoni mwa Miradi ya kimkakati...
1.AMANI YA NCHI YETU
2.UMOJA WA KITAIFA
3.TUOMBE KWA AJILI YA VIONGOZI WETU
4.UCHUMI WA TAIFA
5.UTAWALA WA HAKI NA SHERIA
Chochote Mungu atakachokuongoza kuomba KWA AJILI ya NCHI yetu omba mana...
Naweza kusema kwamba Mh. Jakaya bwana enzi zake watu walikuwa huru sana, Huyu mzee bwana licha ya mapungufu yake, kuna vitu alifanya watu nadhani mpaka kesho watamkumbuka na kumuheshimu.
Picha...
Wakuu kumekucha.Kuna ishu Moja hapa ngoja niiseme hapa mnishauri.Kuna bibi Mmoja hivi hapa jirani nilipopanga.
Huwa tukionana tunasalimia fresh mambo mengine yanaendelea Kuna muda ananiomba...
Kuna maisha baada ya kufa, au tukifa ndiyo mwisho wa kila kitu?
Hili ni swali ambalo limekuwa likiwagawa watu kwa karne nyingi. Wapo wanaoamini kuwa kifo ni mwisho wa kila kitu, hakuna fahamu...
Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza kuanza kwa operesheni ya nchi nzima dhidi ya raia wa kigeni wasio na vibali na wanaoendesha biashara ndogo ndogo, maduka ya rejareja, vibanda na biashara za...
Tarehe 13/3/2018 nilisikiliza taarifa ya habari saa mbili usiku kutoka startv.
Habari ilisema kwamba wafanyabiashara wanalalamika kwa kunyanyaswa wakikutwa na mabondo na hutozwa faini ya sh...
Moja ya njia halali wanayotumia wanawake kufanikiwa ni kutumia nyota za wanaume kwa njia halali mfano kuna wanawake wanaingia kwenye mahusiano na watu maarufu baada ya mda nawao wanakuwa maarufu...
Miaka 16 iliopita
What will happen miaka 15 ijayo.
Ukijiangalia wewe hapo miaka mitano iliopita upo vile vile , upo stuck katika matrix ya kipato cha kupanda kati kati na chini (chini ndio...
Kufuatia kuwepo kwa mjadala kuhusu kauli ya ya kutengwa kwa Kata 10 zilizopo Halmashauri ya Mansapaa ya Temeke kwa ajili ya matumizi ya bandari. Mkuu wa Wilaya ambaye anadaiwa kutoa kauli hiyo kwa...
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram muda mfupi baada ya kuchapishwa kwa hoja ya Mdau...
Tazama , wanasiasa wanavyofanya manipulation
Wanaua , wanatesa but nothing is happen to them
Kama umri wanaishi miaka mingi na wanazidi kuwa na maisha mazuri wao na vizazi vyao .
Lengo la wazungu lilikuwa nini hasa walipoyabadili majina ya mashariki ya kati kuyafanya ya Kizungu mfano Jesus, John, Mathew, Luke au Mark ?
Kwa nini pia majina ya Biblia yakipelekwa kwenye...
Mimi ni mzazi mwenye mwanafunzi anayesoma katika Shule ya Sekondari Likamba, iliyopo Arusha. Kero yangu ni kuhusu huduma ya chakula wanayopewa wanafunzi wa bweni.
Sisi wazazi tunalipa Shilingi...
Wakuu, leo naomba tuzungumze jambo ambalo linatugusa sote, kutoka Mtwara mpaka Kigoma, kutoka Dar mpaka Mwanza. Suala la gharama za maisha limekuwa kubwa mno kiasi kwamba kila mmoja wetu, awe...
Eti kwamba kama Rais Magufuli ni jasiri au la? Ni Jasiri. Nakiri Ujasiri hu sina.Muungwana hukiri asichokuwa nacho na kumkubali mwenye nacho.Kwanza ule ujasiri wa kupingana na risala ya Marehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.