Nina jirani yangu(nimepanga) naye ana nyumba yake jirani na nyumba niliyopanga.
Ananifungulia muziki kama vile yale magari yanyopita barabarani kufanya promotions au adverts. Kwa kweli ananitesa...
Hivi hawa jamaa hawana kilinge?
BABU.MIAMBI.Mganga wa tiba asili. Nyota, kumvuta mme/mke, nguvu za kiume, pete, biashara, jini mali, mali iliyopotea.0684099728/ 0744768265. ITAFIKA POPOTE.
Basi mali ya Kampuni ya Complex Safari ambalo linafanya safari zake Dar es salaam kwenda Mwanza, limepata ajali ya kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Fuso.
Ajali hiyo imetokea maeneo ya...
TRAFFIKI TAZARA WANAVYOUJUMU MAPATO YA RELI YA TAZARA ( PUGU-TAZARA) MKAKATI WA KUSABABISHA VIFO VYA WATANZANIA
Serikali imeanzisha usafiri wa treni ili kusaidia Kupunguza foleni Jijini; Na ili...
JF ni sehemu ya kuongea kwa uwazi, ewe ndugu RSM mpya wa tigo musoma mjini, punguza ama acha kuonea vijana kuanzia hawa vijana wanaopita kutusajilia line, vijana wanaowasimamia wanaosajili line...
Wana bodi,
Siku moja nikiwa naendelea na mishe zangu, nilipigiwa simu na watoa huduma ya mula *150*78# kuwa naweza nujua bundle la king'amuzi kupitia kwao kwa njia rahisi zaidi. Niliwajibu poa...
Wakuu habari,
Naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi gani ya kupata bima ya afya anielekeze inapatika vipi na wapi maana nataka kumkatia bima mama yangu.
Natanguliza shukrani
Wakuu.katika maisha yangu yoote tangu nmeanza kujielewa,uwekezaj woote naofanya,.mbilinge mbilinge zoote nazofanya nchi hii,..nmekua nikipata msada kutoka kwa hawa jamaa yaan kuanzia
1.lesen za...
Nilikuwa nimeka nacheza nae mara ghafla nika mwambia kuanzia kesho nakufungia bandani na kukufunga kamba juu hutatoka nje tena wala ndani huta ingia.
ALIKUWA HIVI
Mara akabadilika sura na...
Wahudumu wa airtel mbeya branch na mlimani city(kaunta namba 4)(yule dada mnene anaevaa kama Malaya na kukaa mapaja yote yako nje kama barmed wa kangaroo )
Wanaangalia salio za wateja kisha...
Mheshimiwa Rc Makondo tunakuomba uingilie kati kuhusu kelele zinazosababishwa na mziki unaopigwa kwenye baa iliyopo stop over kwa mzee Temba.
Sio siri hii baa imekuwa kero kiasi ya kwamba hata...
Mwandishi wa habari wa kujitegemea jijini Arusha, Lucas Muyovera amenusurika kuuawa kwa kipigo baada ya kutekwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Jumatatu Mei 14,2018.
Mwanahabari huyo...
Nimetamani sana neno hili kutokana na uzito wake linapotumika kwani mara nyingi waandishi was habari wakilitumia moyo wangu hufurahia na kuikoga nafsi yangu.
Hata hivyo pamoja na weledi wangu...
Ndugu zangu wanajf
Mtu yyte mwenye taarifa ya mwezi hapa Tanzania eneo analokaa au popote duniani aweke humu ili waislamu tupate taarifa na tufunge ramadhn.
Ahsanteni
=====
UPDATE;
Mufti Mkuu...
Sababu iliyotajwa ni kuwa hawatambuliwi na BOT .
" BOT hawataki kutupokea , wametufukuza kama mbwa "
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba jumla ya waliorejeshwa na mahakama walikuwa 31 , lakini 11...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.