Mheshimiwa Rc Makondo tunakuomba uingilie kati kuhusu kelele zinazosababishwa na mziki unaopigwa kwenye baa iliyopo stop over kwa mzee Temba.
Sio siri hii baa imekuwa kero kiasi ya kwamba hata watoto wadogo hawapati usingizi kutokana na kelele za mziki.
Sio siri hii baa imekuwa kero kiasi ya kwamba hata watoto wadogo hawapati usingizi kutokana na kelele za mziki.