Kwa tuliosoma boarding hasa zile za wasichana na wavulana tulikuwa tunakula msosi huku mboga zikiwa na harufu ya mafuta ya taa.
Hakuna sababu ya maana iliyokuwa inatolewa na wapishi zaidi ya kuwa...
Sababu hii inatosha kabisa kutokuirudisha tena ccm madarakani mwaka 2020 sema watanzania hatutumii akili zetu sawasawa hasa wanawake walio wengi wamekuwa janga kubwa katika hili, lakini akili zao...
Wana-JamiiForums, awali ya yote Heri ya Christmas na mwaka mpya.
Naomba kujuzwa gharama ya kutembelea mbugani Serengeti ikiwa ni pamoja na hotel. Lengo niipeleke family yangu huko atleast kwa...
Nawasilisha malalamiko yangu kwa uchungu mkubwa, kwa heshma na taadhima naziomba mamlaka za juu zinazojihisisha na SUMATRA kitenga cha mabaharia wamulike kwa jicho la pili kitengo hiki kwani ni...
China wametengeneza daraja la kioo tupu ambalo ni 3000 mita kutoka usawa wa ardh, daraja ilo limejengwa likizunguka mlima na linatumika kama kivutio cha utalii,
Jambo la kushangaza ni kwamba...
Habari wakuu,nahitaji kufahamu taratibu kwa maana ya gharama za malazi,chakula na kutembezwa mbugani katika hifadhi yetu ya Serengeti national park kwa wale ambao wamefanikiwa kutembelea,ili...
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.
Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.
Miaka...
Mkazi wa wilayani Igunga, mkoani Tabora ameuawa na fisi na mwingine kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na mnyama huyo katika Kata ya Ziba, wakati wakirejea nyumbani kutoka kwenye klabu ya pombe...
Juzi nimeweka salio sh.1000 kwenye simu ajabu nimeamka imebaki 852, which means kuna hela ilikatwa
Jana tena nikasema ngoja nijaribu, yawezekana kuna kitu nilifanya, nimeamka imepungua tena, na...
Nina jirani yangu(nimepanga) naye ana nyumba yake jirani na nyumba niliyopanga.
Ananifungulia muziki kama vile yale magari yanyopita barabarani kufanya promotions au adverts. Kwa kweli ananitesa...
Hivi hawa jamaa hawana kilinge?
BABU.MIAMBI.Mganga wa tiba asili. Nyota, kumvuta mme/mke, nguvu za kiume, pete, biashara, jini mali, mali iliyopotea.0684099728/ 0744768265. ITAFIKA POPOTE.
Basi mali ya Kampuni ya Complex Safari ambalo linafanya safari zake Dar es salaam kwenda Mwanza, limepata ajali ya kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Fuso.
Ajali hiyo imetokea maeneo ya...
TRAFFIKI TAZARA WANAVYOUJUMU MAPATO YA RELI YA TAZARA ( PUGU-TAZARA) MKAKATI WA KUSABABISHA VIFO VYA WATANZANIA
Serikali imeanzisha usafiri wa treni ili kusaidia Kupunguza foleni Jijini; Na ili...
JF ni sehemu ya kuongea kwa uwazi, ewe ndugu RSM mpya wa tigo musoma mjini, punguza ama acha kuonea vijana kuanzia hawa vijana wanaopita kutusajilia line, vijana wanaowasimamia wanaosajili line...
Wana bodi,
Siku moja nikiwa naendelea na mishe zangu, nilipigiwa simu na watoa huduma ya mula *150*78# kuwa naweza nujua bundle la king'amuzi kupitia kwao kwa njia rahisi zaidi. Niliwajibu poa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.