Nimewaza sana, wakati fulani nawaza nafika mbali sana. Hivi unajisikiaje unapoishi katikati ya wapuuzi halafu wewe tu ndo una akili? Inaumiza na inatesa sana. Ni mateso ambayo sisi wengine...
Polisi wamemkamata mwanamke wa kijiji cha Sokoni wilayani Tarime, kwa kumuua mtoto wake wa miaka minane kwa kumpiga na mwiko.
Kamanda wa polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, Henry Mwaibambe...
Kifo cha askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Konstebo Kulwa Gilbert, aliyepigwa risasi kwa bahati mbaya na mwenzake, kimezua mshtuko kwa ndugu, jamaa, askari wenzake na majirani aliokuwa...
Habari wana JF,
Ni mda sasa toka mamlaka husika ya TCRA kutoa agizo kwa baadhi ya makampuni kuonesha baadhi ya channel bila malipo.
Mimi natumia king'amuzi cha STARTIMES lakini pasipo kukilipia...
Kumekuwa na utapeli ambao mtu hutuma sms kujifanya kumsifia mganga wake wa kienyeji akishukuru kupata mari au kwa wanawake akisifiwa kuweka ndoa vizur mwanzo niliaanza kupata sms mimi nikajuwa...
Wasalaam
Yaani kumezuka haka katabia watu fulani wanakuwa wanatuma SMS kwa watu wengine zinazozungumzia uganga uganga au uchawi na tiba au mafanikio ya uponyaji au ya kimali.
Nauliza hawa watu...
Naona mvua zimekazana usiku kucha leo na hata sasa zinaendelea na hali ya hewa walitutangazia hilo mapema.
Sasa kwa wale tunaotumia mwendokasi vipi huduma inaendelea kutolewa ili tutoke kwa kazi...
Salaam!
Kwa niaba ya Mtawala Kongwa naomba kuwajuza juu ya kifo cha DED Kongwa ndugu Izengo Ngusa aliyefariki usiku wa kuamkia leo maeneo ya Mbande Makaravati kwa kugongana na gari la mafuta...
Nikijiuliza mara ya mwisho kumuona ray kigosi kwenye movie hata sipati picha..
Wala hata sijui lini labda mm sio mfuatiliaji wa bongo movies..
Nasikia ray kigosi ni male best actor kwa Africa...
Ndugu wanabodi, salamu mbele!
Ikiwa leo ni siku ambayo chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS) wanafanya uchaguzi wa kuchagua viongozi wake kuanzia kwa wajumbe wa baraza la viongozi mpaka Rais...
Nilitafakari bila majibu, nikijaribu kutafakari utofauti wa yule mgonjwa, aliyeko kwenye hospitali ya kisasa na ile ya kijijini kule Makoja/Ngarenanyuki. Maana wote wakifa wanaelekea sehemu moja...
KISA CHENYE MAFUNZA
C n P.
Wosia wa baba.
Kuna bwana mmoja muumini aliyekua na hekima na busara, Mola alimjaalia utajiri mkubwa na alikua akiishi na watu vizuri. Kila mtu alikua akimtaja kwa...
NUKUU:
"Askari walikwenda Chumo msikitini, wakapiga risasi wakachukua watu 10 tumefika damu zimetapakaa, walivyorudi mmoja kafa, mmoja hana jicho, mmoja wakamnyoa ndevu kwa kumchoma moto...
Nimeshafika Arusha. Kwenye Semina na Mkutano Mkuu wa mwaka wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika almaarufu TLS. Kuna Semina na mada kadha wa kadha. Lakini kubwa ni uchaguzi wa Rais wa TLS kumrithi...
Mange amekuwa akipata baadhi ya taarifa za ndani sana za Serikali na hata watu wengine wamekuwa wakijigamba kuwa kila linalofanyika ndani ya Serikali wao wanapata taarifa hizo A to Z.
Swali la...
Kuna taarifa kuwa Serikali ya Putin (Urusi) kupitia kwa Jaji mmoja wa Mahakama Kuu kuamuru mtandao wa Telegram kutoa taarifa za watumiaji wa mtandao huo kwa mamlaka za usalama za serikali kifunye...
Mwenyekiti wa Umoja wa Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Dodoma, Salome Kiwaya amefariki dunia kufuatia ajali iliyohusisha magari matatu leo mkoani Dodoma.
Pia alikuwa Mwandaaji wa Miss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.