Pugu/Tazara: Trafiki wanavyohujumu mapato ya reli

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
TRAFFIKI TAZARA WANAVYOUJUMU MAPATO YA RELI YA TAZARA ( PUGU-TAZARA) MKAKATI WA KUSABABISHA VIFO VYA WATANZANIA

Serikali imeanzisha usafiri wa treni ili kusaidia Kupunguza foleni Jijini; Na ili wamelifanya kwa kuanzisha treni za Mjini TAZARA NA TRL.

Makampuni aya yametengeneza ratiba ya dakika kumi Kusubiriana kati ya Treni ya TAZARA NA UBUNGO . Cha kushangaza wakati treni ya UBUNGO ikishusha abiria ili wakapande ya PUGU; Askari wa daraja la TAZARA jioni saa 12 na saa 2 Usiku wanaruhusu gari za kutoka Mjini Makusudi na Gongo la Mboto Posta na Kuwafanya Abiria wengi kuachwa na Treni ya Tazara ;

Imekuwa kawaida kwa Abiria kuvamia barabara na Kuzuia magari kwa nguvu kwa kuvamia barabarani ili hali askari akilazimisha magari yaende ; Tatizo lipo kwa bodaboda amabao ugonga abiria . Wenye magari ya private uhamua kusimama kwa lazima ili kuruhusu ingawa upigwa faini.

Ukienda Tazara hakuna taa ya Abiria na wakati Treni inshusha Askari huwa wanaona watu wananvyovamia barabara na kupiga kelele kuomba wazuie magari.

USHAURI WABADILISHE WANAONA HAKUNA RUSHWA. ILI TUSISUBIRI MAAFA YA KITAIFA
 
Mara nyingine watu wanalaumu sheria za mtandao bure lakini kwa uzi kama huu ni lazima mtu akamatwe ahojiwe vizuri mana sasa hivi kila mtu anai uka tu na kusema ooh kuna hujuma ,mara mkakati na mambo mengine.

Unaposema Chombo cha serikali kama Trafili kina mkakati wa kusababisha vifo inabidi ueleze vizuri kua huo mkakati unapangwa na kuratibiwa na nani !!Mana hizi ni tuhuma nzito sana za kusababisha vifo tena kwa kimkakati.

Ingekua ni jambo jema tu kama ungetoa malalamika yako na ushauri wako bila kutoa tuhuma nzito kama hizo bila kuweka ushahidi wa kutosha zaidi ya hisia za mitaani tu .
 
Mara nyingine watu wanalaumu sheria za mtandao bure lakini kwa uzi kama huu ni lazima mtu akamatwe ahojiwe vizuri mana sasa hivi kila mtu anai uka tu na kusema ooh kuna hujuma ,mara mkakati na mambo mengine.

Unaposema Chombo cha serikali kama Trafili kina mkakati wa kusababisha vifo inabidi ueleze vizuri kua huo mkakati unapangwa na kuratibiwa na nani !!Mana hizi ni tuhuma nzito sana za kusababisha vifo tena kwa kimkakati.

Ingekua ni jambo jema tu kama ungetoa malalamika yako na ushauri wako bila kutoa tuhuma nzito kama hizo bila kuweka ushahidi wa kutosha zaidi ya hisia za mitaani tu .
Kama wanataka ushahidi si wapeleke wapelelezi wao wakaangalie hali halisi. Wameajiri watu kwa kazi hiyo, kama kweli wanajali wanyonge wala haina haja ya kumtaka mleta habari athibitishe, wanajua eneo, waende waone wenyewe.
 
Mara nyingine watu wanalaumu sheria za mtandao bure lakini kwa uzi kama huu ni lazima mtu akamatwe ahojiwe vizuri mana sasa hivi kila mtu anai uka tu na kusema ooh kuna hujuma ,mara mkakati na mambo mengine.

Unaposema Chombo cha serikali kama Trafili kina mkakati wa kusababisha vifo inabidi ueleze vizuri kua huo mkakati unapangwa na kuratibiwa na nani !!Mana hizi ni tuhuma nzito sana za kusababisha vifo tena kwa kimkakati.

Ingekua ni jambo jema tu kama ungetoa malalamika yako na ushauri wako bila kutoa tuhuma nzito kama hizo bila kuweka ushahidi wa kutosha zaidi ya hisia za mitaani tu .
Mkuu bila shaka na wewe ni mzee wa bandika ugari mboga inakuja?
 
Back
Top Bottom