Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Japo upendo ni bora kuliko kila kitu ila pesa inaweza kuvunja kila kitu. Nakumbuka hata mkoani nakotoka pesa inaweza kukufanya ukawa kama mungu mtu, kila mtu unaweza kumtuma na kumkoromea. Ukiwa...
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Nashindwa kutofautisha mfano mimi nataka pc au simu mtumba na sio refurb nitajuaje?
2 Reactions
3 Replies
52 Views
  • Redirect
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, amemwandikia Rais Samia Suluhu Hassan, barua ya kujiuzulu wadhifa huo, miezi michache baada ya kutoa kauli mbalimbali zenye utata. Kabla ya...
0 Reactions
Replies
Views
Kusema NCHIMBI ngoma kujiuzulu? Walipwe fidia wafunguliwe ama inakaa vipi hivii wakuuu
1 Reactions
1 Replies
75 Views
Je endapo Yuda asingelimsaliti Yesu nini nini kingetokea katika mpango wa wakovu wa mwanadamu?
2 Reactions
18 Replies
123 Views
Ukiona umeajili mfanyakazi anaamka saa kumi na mbili anaoga maji baridi , linanyoosha nguo, linabrashi viatu, anapiga mswaki, lakini anasaau kujisaidia haja kubwa anakuja kujisaidia ofisini jua...
5 Reactions
32 Replies
462 Views
Tuchukulie mbuzi, huyu ana matumbo 4, haya yanamuwezesha kula na kuhifadhi chakula, ndio maana unaweza kumkuta mbuzi sehemu haina majani lakini anatafuna. Maana yake alikula majani mapema lakini...
23 Reactions
104 Replies
1K Views
Maisha ni juhudi yako na upambanaji wako hamnaga bahati katika maisha usijidanganye.kula kazi wasela wangu maisha inakutegemea.
3 Reactions
3 Replies
46 Views
Mlokua mnasubiri bei za umeme zishuke poleni... Mnaosubiri eti hiyo siku ya uzinduzi atatangaza bei ya umeme kushuka kuanzia September mosi poleni Hii habari nina uhakika nayo asilimia 100%...
8 Reactions
25 Replies
812 Views
1. ROMBO a. Wachapa kazi - bulldozer b. Wana upendo c. Wabunifu sana kimaendeleo d. Wana heshimu ndoa e. Ulevi - hadi gongo na konyagi f. Ushamba g. Hawajui kupika h. Wizi - Mnaposikia wachaga...
30 Reactions
127 Replies
7K Views
Usijisahau ukasema una marafiki wengi kazini , kuwa makini sana. #Malenga wa Kiha #Mwanasayansi Kalivubha Karibu
2 Reactions
1 Replies
55 Views
Wakuu Hawa jamaa ambao Wana resign Kwa pressure kwanini barua zao huwa zinakuwa posted Kwa private account zao!? Au official channels zinakuwa restricted!? Au wanakuwa exile wakati huo wanapotaka...
1 Reactions
0 Replies
46 Views
Pascal Mayala aliwahi kueleza kwamba Nchimbi ni mtu mkweli na mwenye uwezo wa kulisaidia sana Taifa pamoja na Rais. Kauli hiyo inapata uzito mkubwa zaidi sasa baada ya Nchimbi kutangaza kuondoka...
0 Reactions
2 Replies
96 Views
Tanzania imesema ushiriki wake katika Mkutano wa 17 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame (UNCCD COP17) unalenga kuimarisha juhudi za...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
Nimejaribu kuyatafakari yanayotokea hakika ni ustaarabu wa haki za kidemokrasia uliopitiliza,leo hii litokee hili kwa heche patachimbika!,japo ni makamu katika vyama vya upinzani
0 Reactions
0 Replies
20 Views
  • Redirect
Siasa ni mchezo, Siasa ni unafiki. Siasa ni "game of thrones"
1 Reactions
Replies
Views
Disco limevamiwa na Masai
2 Reactions
26 Replies
187 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Emmanuel Nchimbi, ametangaza uamuzi wa kustaafu siasa na utumishi wa umma. Nchimbi amesema leo, Agosti 25, 2026, amemuandikia barua Rais wa...
2 Reactions
15 Replies
332 Views
ETI TURITHI DHAMBI ZA WATU HATUWAJUWI HUO SI NI UZWAZWA:
0 Reactions
2 Replies
45 Views
Back
Top Bottom