Unatuuliza sisi hebu watafute wale wazee wa baraza la sanhedriniJe endapo Yuda asingelimsaliti Yesu nini nini kingetokea katika mpango wa wakovu wa mwanadamu?
Yuda alikua wa muhimu sana, nikifika mbinguni nitampa mauwa yakeYesu asingesulubiwa, na mpango mzima wa wokovu ungedunda.
Anastahili hakika.Yuda alikua wa muhimu sana, nikifika mbinguni nitampa mauwa yake
mhhh! Sasa kama ni hivyo free will ina maana gani kwetu?Yesu asingesulubiwa, na mpango mzima wa wokovu ungedunda.
Mojawapo ya mambo ambayo sikuwahi kuelewa ni hili la Yuda kuonekana kama mwenye dhambi wakati ilibidi awepo kuukamilisha mpango wa wokovu😁Yesu asingesulubiwa, na mpango mzima wa wokovu ungedunda.
Hawo wazee ni wanafiki sana, kwa nje ni kondoo ila ndani ni mbwa mwitu!Unatuuliza sisi hebu watafute wale wazee wa baraza la sanhedrini
... Mkuu mpango wa wokovu ulikuwepo mwanzo na ahadi ilitolewa pale edeni. Na shetani alitumia kila mbinu kuhakikisia haitimii, ndio maana akaanza kumuua abeli, so YudA may be angeokoka! Tamaa zake Zikamponza.Je endapo Yuda asingelimsaliti Yesu nini nini kingetokea katika mpango wa wakovu wa mwanadamu?
Yesu asingesulubiwa, na mpango mzima wa wokovu ungedu
JE HAPAKUWEPO NJIA NYINGINE YAYESU KUFA ZAIDI YA KUMTUMIA YUDA?Yesu asingesulubiwa, na mpango mzima wa wokovu ungedunda.
Yesu alikufa kwa ajili yako piaUnatuuliza sisi hebu watafute wale wazee wa baraza la sanhedrini
Mpango wa Mungu lazima utimie. Mpango wa Mungu ilikuwa Yesu lazima afe kifo cha msalabaJe endapo Yuda asingelimsaliti Yesu nini nini kingetokea katika mpango wa wakovu wa mwanadamu?
Yesu alikufa kwa ajili yako piaHauwezi kuzuia mvua isinyeshe
Mojawapo ya mambo ambayo sikuwahi kuelewa ni hili la Yuda kuonekana kama mwenye dhambi wakati ilibidi awepo kuukamilisha mpango wa wo
😀😀😀😀😀 je una uhakika utamkuta?Yuda alikua wa muhimu sana, nikifika mbinguni nitampa mauwa yake
Una uhakika na unachokisema au umekaririshwa tuYesu alikufa kwa ajili yako pia
yohana 3:16Una uhakika na unachokisema au umekaririshwa tu