mpogorohalisi
Member
- Jun 11, 2025
- 12
- 21
Nimefungua madai ya kulipwa mafao yangu baada ya miezi 18, nimefungua tarehe 23/4/2026. Nilipofika nikaambiwa malipo ni ndani ya mwezi mmoja tu. Baada ya hapo tarehe 1/5 nikakopa kwa riba laki 3 ili niweze kujikimu na familia, nikiamini tarehe 1/6 ntakuja nimelipwa.
Cha ajabu tarehe 23/5 nikaenda kuuliza kulikoni nikambiwa PSSSF hwajatoajibu kua kule ninachangia au la ili kujua labda Nina ajira serikalini. Nikafanya manuva yangu nikapata Mtu kule akaniambia nssf walijibiwa tangu tarehe 9/5.
Leo tarehe 8 nimeenda bado naambiwa majibu hayajarudi kutoka PSSSF. Baada ya kuwabana Sana ndio wananiambia kua meneja wa NSSF hayupo Kwa hiyo kibali ndio tunasubiria.
Hadi Sasa mke ameondoka maana aliyetukopesha amechukua kitanda na godoro na tv na vitu vingine ili kifidia Hela yake. Kiukweli NSSF ni wababaishaji kama Hela hamna mmepeleka mabwe pande mseme. Ndoa yangu inavunjika, naingia aibu. Naomba serikali itoe tamko katika hili
Cha ajabu tarehe 23/5 nikaenda kuuliza kulikoni nikambiwa PSSSF hwajatoajibu kua kule ninachangia au la ili kujua labda Nina ajira serikalini. Nikafanya manuva yangu nikapata Mtu kule akaniambia nssf walijibiwa tangu tarehe 9/5.
Leo tarehe 8 nimeenda bado naambiwa majibu hayajarudi kutoka PSSSF. Baada ya kuwabana Sana ndio wananiambia kua meneja wa NSSF hayupo Kwa hiyo kibali ndio tunasubiria.
Hadi Sasa mke ameondoka maana aliyetukopesha amechukua kitanda na godoro na tv na vitu vingine ili kifidia Hela yake. Kiukweli NSSF ni wababaishaji kama Hela hamna mmepeleka mabwe pande mseme. Ndoa yangu inavunjika, naingia aibu. Naomba serikali itoe tamko katika hili