Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wakuu, Kati ya Mayor na DED nani mkubwa kwa mwenzie, nani anaweza kumuamrisha mwenzie/kumpa maelekezo kikazi? Nawasilisha. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Mashabiki kindakindaki wa mpira wa miguu hupata msongo wa mawazo wanapokuwa wakitazama timu zao, wanaweza kujiweka hatarini kupata mshtuko wa moyo, utafiti umeeleza. Utafiti uliofanywa Oxford...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mbele ya Watu wenye Akili ( Uwerevu ) kutushinda na waliopata Maendeleo kutuzidi Sisi hapa huwa tunawaonyesha nini?
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Sikukuu ya kurushiana chakula imezoeleka sana Spain. Mwaka 2012 sherehe hizo, zilivunja rekodi kwa kutupiana nyanya takribani tani 40 za nyanya Mwaka huo kulikuwa na watu 40,000 waliotembelea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Redirect
Katika hotuba ya Prof Kabudi ikulu amemtaja kijana mdogo Kasmir Simba Kyuke kuwa alimnyanganya barua na kuichana, naombeni wanaomjua watupe wasifu wake kijana hodari na mchapa kazi na mwenye...
1 Reactions
Replies
Views
Kampuni ya Sino hydro inajenga mradi wa maji taka jijini Arusha pamoja na maeneo ya jirani. Hata hivyo kampuni hii imekuwa kero kubwa kwa wakaazi wa Arusha kwa kuharibu miundombinu ya barabara za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Redirect
Mara nyingine tena narudi kwenu kuendelea na zoezi hili maana JF inazalisha watu wapya kila siku wenda wakamfahamu. Ana ni mtoto wa kwanza wa mzee Michael,na amezaliwa miaka ya 1978/79.Baba yake...
0 Reactions
Replies
Views
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania ( TMA) imetoa tahadhali ya mvua kubwa itakayonyesha katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na kusini mwa Morogoro leo Jumatano Januari 22, 2020. Pia, TMA imetoa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Poleni kwa ukimya wa siku kadhaa, tulikuwa na majadiliano na wanasherua kadhaa kupata ushauri wa namna ya kuwa salama iwapo tutaamua kuweka ushahidi ambao unaweza kuambatana na ku-reveal identity...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mkazi wa kijiji cha Maguu wilayani Mbinga mkoani Ruvuma Erick Msuha ayesumbuliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya yanayomsababishia kunywa lita mia moja za maji kwa saa mbili ili aendelee...
3 Reactions
26 Replies
6K Views
Leo Ni miaka 7 kamili tangu nimekuwa member rasmi wa JF. Safari ya JF ilianzia miaka ya 2010 hivi, pale nilipokuwa nikisearch baadhi ya taarifa kwenye browser huku results zikiniletea source ya...
3 Reactions
4 Replies
535 Views
Salaam wana jukwaa, Natumai mko buheri wa afya, mwenye ugonjwa au matatizo nampa pole ,maana ndio ukubwa huo. Hebu tuangalie hii mikopo ya wafanyakazi, maana kwa mishahara yetu hasa wa serikali...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
NA MOHAMMED ABDULRAHMAN Kasri la Malkia wa Uingereza Elizabeth wa pili ( Buckingham Palace), limo kwenye mtikisiko, baada ya kushtushwa na tangazo la mjukuu wake Harry na mkewe Meghan, kwamba...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kifungo cha miaka 28 jela kila mmoja wafanyakazi wawili wa Benki ya NMB. Wafanyakazi hao, Mtoro Midole na Daudi Kindamba wamehukumiwa leo Jumatatu...
1 Reactions
68 Replies
11K Views
Kiongozi mkuu wa kanisa la Pentecostal Power Ministry Nabii Eliya Mahela amesema hakubaliani na kile alichokifanya waziri Lugola cha Kumdhalilisha mchungaji wake pamoja na kumlazimisha kufungua...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
  • Redirect
Wadau Kuna mjadala unaendelea live sasa hivi Voice of America kujadili hali ya kisiasa Zimbabwe. Mchabguaji mmoja amedai viongozi wengi Africa ni Watawala na sio Viongozi. Inaonekana ipo tofauti...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu, nimekuwa natafakari kwa muda mrefu dhana hii tunayoaminishwa ya 'utawala bora' na si 'uongozi bora'. Naamini pana tofauti kabisa kati ya KUONGOZA na KUTAWALA. Ukifuatilia mambo ya siasa...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Utafiri umeonyesha kwamba maziwa ya mgando huimarisha kinga ya mwili na kukinga dhidi ya magonjwa ya mfumo wa hewa na haswa homa ya mafua. Prof. Dr. Nizami Duran mkuu wa Idara ya Mikrobiolojia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu Watanzania 30 waliozamia nchini Afrika Kusini na kurudishwa nchini, baada ya kukiri na kutiwa hatiani kwa mashitaka ya kuondoka nchini...
0 Reactions
Replies
Views
Tanzania imepanda kwa nafasi moja juu kwa viashiria vya kutokomeza rushwa duniani kwa mujibu wa kipimo cha kiwango cha rushwa kwa nchi mbalimbali kiitwacho Corruption Perception Index (CPI)...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom