Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

UCHUMI KWA WASIO WACHUMI Sio neno geni, lakini kama ilivyo kawaida kwa watu wasio na utaalamu wa somo husika kutumia maana zinazowafanya wachanganye maneno. Uchumi ni ile hali ya kufanya...
3 Reactions
12 Replies
8K Views
  • Redirect
https://www.wsj.com/articles/trump-administration-plans-to-add-seven-countries-to-travel-ban-list-11579638341 Tanzania ipo Kati ya nchi zilizopigwa barn na USA habari zaidi fungua link Sent from...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Trump Administration Plans to Expand Travel Restrictions to Seven Countries Nations being considered for new rules: Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan, Tanzania WASHINGTON—The...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Sijaelewa hapa USA wana nini na Watanzania, maana kule Tanzania hawana sera za kufadhili majihadi wala huwa hawaskiki sana kwenye matukio ya milipuko ya mabomu, na pia Wasomali sio wengi kule kama...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
President Donald Trump may expand his controversial travel ban with an announcement expected as early as Monday, the three-year anniversary of the original order, which targeted several...
0 Reactions
Replies
Views
Mwaka 2017, Shirika la hali ya hewa duniani (WMO) lilitangaza mvua kubwa ya mawe kuwahi kutokea duniani. Baada ya uchunguzi wa kina, ilionekana mvua iliyowahi kutokea Uttar Pradesh, India, tarehe...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
  • Redirect
Bila hela mipango mingi itakwana hata ile ya kujinunulia mahitaji muhimu kama chakula na mavazi. Simu zinazozimwa ni zile zinasaidia kukusanya hela ya kutekelezea mipango mbalimbali. Kuzizima...
0 Reactions
Replies
Views
Nimekuwa nikijaribu kutafakari sana lakini imefikia niyaweke haya wazi! Kitu kama bendera ni tunu muhimu sana kwa nchi! Lakini nikipita mtaani naona mauzauza sana hasa ktk aina za rangi na nakshi...
4 Reactions
64 Replies
9K Views
Iwe Kirusi, Kiarabu ama Kichina, au hata fizikia ya maumbo. Ubongo wa binaadamu unaweza kujifunza kitu chochote kile, hata kiwe kigumu namna gani, tena kwa haraka. Utafiti unaonesha kuwa muda...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Wasalaam wanabodi. Weekend iko safi kabisa wakati tukijiandaa kuuanza mwezi wa 12, mwezi ambao una mambo mengi ya kimaisha ambayo yote hukutana kwa wakati mmoja. Mshahara wa mwezi Desemba huwa...
6 Reactions
53 Replies
5K Views
Salaam wanajamvi, kwa wale tuliokoshwa koshwa na rungu batili la TCRA pamoja na wapenda maendeleo wote amani iwe nanyi. Nijielekeze kwenye mada husika.. Mh. Rais wetu ndio kioo chetu mbele ya...
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Salaam wanajamvi! Tumemalizana na kibwagizo cha Taifa kuhusu NIDA na usajili wa laini za simu kwa alama za vidole bila laini hata moja kufungiwa pamoja na makelele yote na vitisho kutoka kwa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
JESHI la Polisi Zanzibar limemfukuza kazi askari polisi Hussein Yahya Rashid (36) baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusababisha kifo cha Mussa Suleiman ambaye alituhumiwa kwa kosa la wizi...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Hivi kwa nini mara nyingi sana wale waliokuwa hawana uwezo kielimu wanafanikiwa Kimaisha na wale waliokuwa wanaakili mnoo ndio wanakazi za kielimu Lakini can’t make money .
2 Reactions
55 Replies
5K Views
Ilikua juzi nipo maeneo ya wilaya ya Magu mkoani Mwanza, nilienda kufuatilia zoezi la upimaji wa viwanja unaoendelea. Basi nikiwa na wenzangu wawili tukapanda kwenye gari aina ya corolla oldmodel...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limedai kuwa limeua watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, na kukamata silaha moja aina ya bastola Jeshi hilo limesema kwamba bastola hiyo...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika kudhibiti elimu, tumeshuhudia serikali ya awamu ya tano kupitia mama yetu "mpendwa" Ndalichako, vyuo visivyo na ubora vimefutwa bila ajizi. Hilo ni jambo zuri. Wasiwasi wangu ni kuwa, je...
3 Reactions
4 Replies
965 Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili na kufuta baadhi ya Vyuo vilivyofungiwa mwaka 2017 na kutakiwa kufanya maboresho mbalimbali lakini hawakufanikiwa kurekebisha dosari hizo...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Watu milioni 470 ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au hawana kazi nzuri ya kuwawezesha kujenga mustakabali bora. Hayo ni kulingana na ripoti ya kila mwaka ya Shirika la Kazi Duniani ILO Umoja...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, ameeleza kuwa mkoa wa Dar una upungufu wa Madarasa 381 huku Temeke pekee kukiwa na Upungufu wa Madarasa 120 kwani watoto waliofaulu kuingia kidato cha kwanza kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom