Kanisa la Pentekost la Christ Embassy, chini ya uongozi wa Pastor Chris Oyakhilome, limezindua rasmi safu ya magari yanayotumia nishati ya umeme, ikiwa ni sehemu ya miradi yake ya kiteknolojia na...
Kama inavyoonekana hapa Gen Z uwezo wenu wa akili umethibitika kuwa ni mdogo na hiyo ipo wazi tunaiona hata kwenye maisha ya kila siku. Hata hivi juzi kuna mhadhiri wa chuo kikikuu cha Dar es...
Wakuu mko poa,
Kipindi cha nyuma nadhani 2016 wakati Muhongo akiwa waziri aliwahi kupiga marufuku matumizi ya mafuta ya transfoma kwa mapishi ya chips, wakati huo zilikua ni tetesi tu kua kuna...
Nimeanza kumfuatilia kwa karibu wakili huyu katika kesi hii yenye kuvuta hisia za wengi.
Nilichogundua ni kwamba yu msomi kwelikweli hana mihemuko lakini intellectual strike capability ni kubwa...
Kuna stage katika maisha, universe itakupitisha katika tanuri la moto ili tu ikuamshe. Yaani utaona kama Mungu alikosea kukuumba ilihali amekufanya wa tofauti ili uje uje utimize mambo makubwa...
Nahisi hamjambo
Shidayangu nataka mniambie nifanyeje ili tatizolangu liishe kabisa
nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla.nikila tu kama dakika tano maumivu yote...
Lissu : Tafadhali shahidi jitambuloshe mbele majaji na mahakama
Samuya : Naitwa Samuya SH
Lissu : Elimu yako ya juu ukipata katika chuo Gani?
Samuya: mie nilisoma sokoine University ( mfano)...
Rais wa TLs Wakili Boniface Mwabukusi amesema Jiji la Mbeya linaonekana tofauti na majiji mengine nchini kutokana na shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi kumalizika mapema usiku, kauli ambayo...
Tangu Jumatatu ya wiki hii, gumzo kubwa mitandaoni ni kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwataka wamiliki wa mabasi ya abiria yanayotoka Dar kwenda mikoani kuanzia safari...
Kitu kinachokera na kufanya nisipende kutumia stendi za mabasi za umma kama Magufuli Terminal, ni mpangilio mbovu na vurugu. Serikali imetumia mabilioni ya pesa kujenga stendi zenye miundominu ya...
Naomba kufikisha salaam kwa Rais Samia kuhusu Sakata la stendi ya magufuli!
Wamiliki wa mabasi wametumia kila njia kuomba kuonana na mkuu wa mkoa ili yafanyike mazungumzo kabla ya zoezi lakini...
Ndugu zangu,
Serikali ya CCM imejenga uhalali wake kwa watanzania kwa kuwakinga dhidi ya makali ya ubepari.
Wakati tunaenda World Bank kuomba hela ya Bwawa la Nyerere, tulipewa masharti ya...
Toka nimeingia humu sikuwahi kufikiria nitapenda mtu, sikuwahi kufikiria Nitakuwa drawn kwa ID ya mtu maana nilikuwa najua maandishi haya reflect physical beauty...
Kumbe I was wrong, sikujua how...
Julius Nyerere Hydropower Project ni miongoni mwa miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ya nishati nchini ikiwa na uwezo wa MW 2,115.
Ukubwa wake unaonyesha dhamira ya Tanzania kuongeza uwezo wake...
Raisi Trump amesema anataka kukutana na Ayatollah Mojtaba ili wayamalize😂..
Aise dunia inaenda kasi, kuanzia tumewavuruga, mpaka kuomba kukutana na Mjuba mwenyewe, tutaona mengi sana.
Tulimcheka...
Nikiendelea na harakati ZANGU za usafi wa mazingira, nikafikiri hatuwezi kuweka mazingira safi pekee ilihali nguo zetu haziko safi.
Sasa nimekuja na sabuni za maji na Jiki ya nguo nyeupe...
Sema huenda ni kweli an empty mind is a devil workshop 🤣🤣🤣😇.. Sasa juzi kati nikawa napitia pitia ki bible kidogo kile cha agano jipya ,nikawa nakisoma kisa cha yohana mbatizaji (math14:1-12 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.